Rwanda: Polisi 200 wafukuzwa kazi, tujifunze kutoka kwao

shige2

JF-Expert Member
Oct 11, 2016
8,106
3,966
Wana Jamvi vita dhidi ya UFISADI hata madawa ya kulevya haviko Tanzania peke yake.
Rais Kagame wa Rwanda amewafukuza kazi maafisa wake 200 wa ngazi mbalimbali toka katika jeshi la Polisi.

Hatua hiyo ilifikiwa baada ya kikao cha baraza la Mawaziri kilichoongozwa na mwenyekiti wake rais Paul Kagame.
Habari zaidi zinasema, Polisi hao WANATUHUMIWA kwa makosa ya UFISADI na KUKOSA MAADILI kulingana na KIAPO chao cha kazi.

Msemaji mkuu wa Jeshi hilo amenukuliwa akisema
"Jeshi la Polisi la Rwanda HALITAMVUMILIA askari yeyote ATAKAYEJIHUSISHA katika mambo yanayoweza KUIHARIBIA nchi sifa".

Rwanda ni nchi iliyo na uvumilivu ZERO wa ufisadi/ ZERO TOLERANCE on corruption.
Ikizingatiwa kuwa mwaka jana watu zaidi ya 200 pia WALIKAMATWA kwa KUJARIBU kuwahonga askari Polisi.

Wana JF naamini hata sisi Tanzania tunaweza KUKATAA Ufisadi, MADAWA ya KULEVYA na KUWAWAJIBISHA wahusika BILA KUJALI VYEO VYAO!
Chanzo AP/Associate Press
 
Wana Jamvi vita dhidi ya UFISADI hata madawa ya kulevya haviko Tanzania peke yake.
Rais Kagame wa Rwanda amewafukuza kazi maafisa wake 200 wa ngazi mbalimbali toka katika jeshi la Polisi.

Hatua hiyo ilifikiwa baada ya kikao cha baraza la Mawaziri kilichoongozwa na mwenyekiti wake rais Paul Kagame.
Habari zaidi zinasema, Polisi hao WANATUHUMIWA kwa makosa ya UFISADI na KUKOSA MAADILI kulingana na KIAPO chao cha kazi.

Msemaji mkuu wa Jeshi hilo amenukuliwa akisema
"Jeshi la Polisi la Rwanda HALITAMVUMILIA askari yeyote ATAKAYEJIHUSISHA katika mambo yanayoweza KUIHARIBIA nchi sifa".

Rwanda ni nchi iliyo na uvumilivu ZERO wa ufisadi/ ZERO TOLERANCE on corruption.
Ikizingatiwa kuwa mwaka jana watu zaidi ya 200 pia WALIKAMATWA kwa KUJARIBU kuwahonga askari Polisi.

Wana JF naamini hata sisi Tanzania tunaweza KUKATAA Ufisadi, MADAWA ya KULEVYA na KUWAWAJIBISHA wahusika BILA KUJALI VYEO VYAO!
Chanzo AP/Associate Press
Kama bungeni wanaweza kugawana ten m kwa ajili ya kupitisha bajeti na mkulu akabariki tutawezaje kuikataa rushwa?
 
Wana Jamvi vita dhidi ya UFISADI hata madawa ya kulevya haviko Tanzania peke yake.
Rais Kagame wa Rwanda amewafukuza kazi maafisa wake 200 wa ngazi mbalimbali toka katika jeshi la Polisi.

Hatua hiyo ilifikiwa baada ya kikao cha baraza la Mawaziri kilichoongozwa na mwenyekiti wake rais Paul Kagame.
Habari zaidi zinasema, Polisi hao WANATUHUMIWA kwa makosa ya UFISADI na KUKOSA MAADILI kulingana na KIAPO chao cha kazi.

Msemaji mkuu wa Jeshi hilo amenukuliwa akisema
"Jeshi la Polisi la Rwanda HALITAMVUMILIA askari yeyote ATAKAYEJIHUSISHA katika mambo yanayoweza KUIHARIBIA nchi sifa".

Rwanda ni nchi iliyo na uvumilivu ZERO wa ufisadi/ ZERO TOLERANCE on corruption.
Ikizingatiwa kuwa mwaka jana watu zaidi ya 200 pia WALIKAMATWA kwa KUJARIBU kuwahonga askari Polisi.

Wana JF naamini hata sisi Tanzania tunaweza KUKATAA Ufisadi, MADAWA ya KULEVYA na KUWAWAJIBISHA wahusika BILA KUJALI VYEO VYAO!
Chanzo AP/Associate Press
rwanda si watu wa mchezomchezo na blablaaa..!
 
Itakuwa Rwanda wamejifunza kutoka kwetu.kwani mpaka sasa Rais keshatumbua majipu mangapi?
 
Wana Jamvi vita dhidi ya UFISADI hata madawa ya kulevya haviko Tanzania peke yake.
Rais Kagame wa Rwanda amewafukuza kazi maafisa wake 200 wa ngazi mbalimbali toka katika jeshi la Polisi.

Hatua hiyo ilifikiwa baada ya kikao cha baraza la Mawaziri kilichoongozwa na mwenyekiti wake rais Paul Kagame.
Habari zaidi zinasema, Polisi hao WANATUHUMIWA kwa makosa ya UFISADI na KUKOSA MAADILI kulingana na KIAPO chao cha kazi.

Msemaji mkuu wa Jeshi hilo amenukuliwa akisema
"Jeshi la Polisi la Rwanda HALITAMVUMILIA askari yeyote ATAKAYEJIHUSISHA katika mambo yanayoweza KUIHARIBIA nchi sifa".

Rwanda ni nchi iliyo na uvumilivu ZERO wa ufisadi/ ZERO TOLERANCE on corruption.
Ikizingatiwa kuwa mwaka jana watu zaidi ya 200 pia WALIKAMATWA kwa KUJARIBU kuwahonga askari Polisi.

Wana JF naamini hata sisi Tanzania tunaweza KUKATAA Ufisadi, MADAWA ya KULEVYA na KUWAWAJIBISHA wahusika BILA KUJALI VYEO VYAO!
Chanzo AP/Associate Press
ni vyema kabisa lakini pia rwanda hawahongi faranga milioni kumi kwa wabunge wao ili kupitisha miswada, wale wapo serious.
 
Impossible, lazima uangalie mazingira, je utaweza kuwa monitor ukishawafukuza? These people are trained personnel's if they gang they could be very fatal, lazima ujipange kuwafukuza askari wengi kiasi hichi kwa mkupuo.
 
Wana Jamvi vita dhidi ya UFISADI hata madawa ya kulevya haviko Tanzania peke yake.
Rais Kagame wa Rwanda amewafukuza kazi maafisa wake 200 wa ngazi mbalimbali toka katika jeshi la Polisi.

Hatua hiyo ilifikiwa baada ya kikao cha baraza la Mawaziri kilichoongozwa na mwenyekiti wake rais Paul Kagame.
Habari zaidi zinasema, Polisi hao WANATUHUMIWA kwa makosa ya UFISADI na KUKOSA MAADILI kulingana na KIAPO chao cha kazi.

Msemaji mkuu wa Jeshi hilo amenukuliwa akisema
"Jeshi la Polisi la Rwanda HALITAMVUMILIA askari yeyote ATAKAYEJIHUSISHA katika mambo yanayoweza KUIHARIBIA nchi sifa".

Rwanda ni nchi iliyo na uvumilivu ZERO wa ufisadi/ ZERO TOLERANCE on corruption.
Ikizingatiwa kuwa mwaka jana watu zaidi ya 200 pia WALIKAMATWA kwa KUJARIBU kuwahonga askari Polisi.

Wana JF naamini hata sisi Tanzania tunaweza KUKATAA Ufisadi, MADAWA ya KULEVYA na KUWAWAJIBISHA wahusika BILA KUJALI VYEO VYAO!
Chanzo AP/Associate Press
Mwanzo inaonekana kama vile serikali inatumia mabavu lakini baadaye tutazoea tu.
 
Back
Top Bottom