Tetesi: Rwanda kuwekeza Tanzania kwenye sekta ya Madini

WIZI MTUPU!

Baada ya wawekezaji wa kigeni kuzingua juu ya ukwepaji wa kodi na utoroshaji wa rasilimali kama makinikia serikali ya Rwanda inatarajia kuja kuwekeza Tanzania katika sekta ya madini

Ni jambo jema na kutia moyo kuona waafrika wenzetu na jirani zetu wanakuja kuwekeza
Huu ni wakati wetu sisi waafrika kujiendeleza sisi kama sisi baina ya nchi na nchi
Na kupitia hivyo utaratibu umeshaanza na serikali ya rwanda inatarajiwa kuwekeza kwenye migodi 18 ya mwanzo kama makubaliano ya mwanzo

Na uzuri ni kuwa tutapata kodi ya kutosha na kunufaika vya kutosha

My take:
Tujitahidi sana wawe wanalipa kodi ya kutosha na sisi tufaidike na pia kama itawezekana serikali ya tanzania iingie ubia na serikali yetu iwekeze kwenye migodi yote ya tanzania ambayo inaonekana inasua sua

Na hili litatufanya tunufaike mno kiuchumi
 
Tanzania imekosa dira juu ya raslimali...

Tanzania ya Nyerere na hii ya leo ni Sawa na mbingu na nchi zilivyo mbali.

Eeeh, Tanzania unakuwa kibaraka wa Rwanda badala ya Rwanda kuendelea kuwa mtumwa wetu!?

Miaka ya 60s , 70s hadi 80s wanyarwanda walikuwa watumwa wetu wa kufyeka, kulima, kupalilia mashamba na kutuvunia mazao tunawapa malipo ya chakula tu cha siku hiyo leo hii tunawapa nchi , tunawapa madini!?

Maria Nyerere, tusaidie waambie tulivyokuwa tunawakodi wanyarwanda watufanyie kazi kule mashambani mwetu kanda ya ziwa.

Anayetaka kujua ukweli huu aende TBC Taifa redio TBC FM aombe sehemu ya pili ya mahojiano ya Mama Maria Nyerere asikilize namna tumewatumikisha wanyarwanda kulima na kuchunga mifugo yetu.

Sasa leo mnataka kuwapa migodi , madini, wataalamu wa ICT watoke warwanda kuja Tanzania!!
Guys, give me a break, it real sounds as an idiot decision.

Tuamke Tanzania tuache ujuha huu.
 
Baada ya wawekezaji wa kigeni kuzingua juu ya ukwepaji wa kodi na utoroshaji wa rasilimali kama makinikia serikali ya Rwanda inatarajia kuja kuwekeza Tanzania katika sekta ya madini

Ni jambo jema na kutia moyo kuona waafrika wenzetu na jirani zetu wanakuja kuwekeza
Huu ni wakati wetu sisi waafrika kujiendeleza sisi kama sisi baina ya nchi na nchi
Na kupitia hivyo utaratibu umeshaanza na serikali ya rwanda inatarajiwa kuwekeza kwenye migodi 18 ya mwanzo kama makubaliano ya mwanzo

Na uzuri ni kuwa tutapata kodi ya kutosha na kunufaika vya kutosha

My take:
Tujitahidi sana wawe wanalipa kodi ya kutosha na sisi tufaidike na pia kama itawezekana serikali ya tanzania iingie ubia na serikali yetu iwekeze kwenye migodi yote ya tanzania ambayo inaonekana inasua sua

Na hili litatufanya tunufaike mno kiuchumi
Hatukatai ila source ni IPI? Au wewe ni Wa jikoni?
 
Mmmh urafiki huu wa serikali ya Rwanda kuja kuwekeza kwetu ni kama urafiki wa swala na simba.
Nahisi mmoja wapo kuja kulia mbeleni na si mwingine ni sisi
Harafu usifikiri Tanzania ni mazezeta kama mnavyofikiria ,Tuna TISS inafanya KAZI ndani Na nje ya nje Yetu kuhakikishi nchi inapata kile kinachostahili.
 
Habari isiyokuwa na chanzo ipeleke insta na facebook,Rwanda can only FAKI with DRC not my beloved Tanzania.
 
Sukununu unae kwenu



Sirudiagi kujisoma labda niwe nafukuzia pesa au inahusu kazi zangu.



Na bado unapenda kunisoma.. unashindwa nini kypita posts zangu... eeeeh:eek:

____________
Sasa nyie washwawashwa

Nyie zenu zipo ndani ya tundu la sindano

Hamna hata aibu... mnataka muandikiwe 1+1=...
Ndio mseme mtu ameeleweka

Kwendeni hukoooo

Hivi na wewe umeajiriwa na unalipwa mshahara kabisa? Uandishi wako unaonesha wewe ni Mama wa nyumbani.
 
Hatutaki Magu usituletee balaa sisi yanayotokea DRC unataka yaje na huku??? ccm msiliingize taifa kwenye giza nene! Afadhali mzungu kuliko Rwanda hawa ni wauaji watatumaliza wageuze Tz ni yao.
 
Back
Top Bottom