Huhitajiki umwamini, it is enough if you trust your mother.Sijawahi mwamini Kagame!!!
Sweeping stupid statement with no iota of evidence. Awuoro!!!!!Maajabu ya serikali ya CCM kushindwa kuchimba madini na kuikabidhi Serikali ya Rwanda.
Habari hizi fununu ilishatoka na watu wakangelea.. acheni kumsifia mtu ambaye nae alijua kama wengine na sio kutumia voodoo kujua.
Mkuu acha woga ,we sema Ukweli, Msema Ukweli ni Mpenzi wa Mungu.Hata mimi sijawahi kumwamini, kwa maslahi ya nchi yake yuko vizuri lakini nna mashaka naye kwa mstakabari wa nchi yetu hasa nikimkumbuka Marehemu Mtikila.
Ngoja nikae kimya nisije pelekwa mabwepande
daah kaz kweli kweli hv hua unasomaga kweli unachoandika??Habari hizi fununu ilishatoka na watu wakangelea.. acheni kumsifia mtu ambaye nae alijua kama wengine na sio kutumia voodoo kujua.
Sweeping stupid statement with no iota of evidence. Awuoro!!!!!