Rwanda kuizidi Zanzibar kwa Utalii??

Soon Znz itaanza kushindana na Mauritius na Ushelisheli. Mwinyi anaitangaza sana.
 
Naangalia takwimu naona Rwanda na Zanzibar wanakaribiana mno kwa idadi ya watalii wanao tembelea nchi hizo mbili..


Ingawa Rwanda wanatumia pesa mara 50 zaidi kutangaza nchi yao..

Nafikiri ndani ya miaka mitatu ijayo wataiacha Zanzibar .....ingawa Zanzibar ni brand kubwa Sana kiutalii..

Tumlaumi nani??
Hata somalia wakuacha vita wataizid Tanganyika kwa maendeleo
 
Sema Watanzania tuna lalamika kwenye kila kitu.

Je, tuko tayari kuingia gharama za kuwekeza kwenyd marketing kama wanavyofanya Rwanda ??

Ila jamani wabongo tunachonga. Likifanyika A tunachonga, likifanyika B tunachonga lisipofanyika tunachonga.
Watz hawana akili ya wanyarwanda !! Amini usiamini
 
Nchi za uarabuni wametumia mabilion ya dola kujenga na kutangaza utalii.
Na si ajabu wanapata idadi kubwa ya watalii kushinda hata nchi zenye utalii wa asili. So si ajabu Rwanda kuishinda znz maana wao wanawekeza sana

kama sikosei kabla ya janga la Corona, Dubai walikua wanaingiza watalii wasiopungua 15 million a year, na hii 15 million ni figure ya watalii kwa maana ya watalii wanaokwenda kwa ajili ya utalii kabisa yani kufikia mahoteli ya kitalii na kutembelea maeneo ya kitalii, sio wale wapemba wanaoenda kununua spea za magari na Tende na kuja kuuza bongo wao hawamo hesabuni, kwa lugha nyepesi wanaokwenda kwa biashara hawajajumuishwa kwenye hiyo hesabu.
 
Naangalia takwimu naona Rwanda na Zanzibar wanakaribiana mno kwa idadi ya watalii wanao tembelea nchi hizo mbili..


Ingawa Rwanda wanatumia pesa mara 50 zaidi kutangaza nchi yao..

Nafikiri ndani ya miaka mitatu ijayo wataiacha Zanzibar .....ingawa Zanzibar ni brand kubwa Sana kiutalii..

Tumlaumi nani??
Tutangaze badala ya kulaumiana.
 
..Kuna umuhimu pia wa kuangalia watalii wa ndani.

..Huko tunakowatangazia vivutio vyetu, wananchi wao wana UTAMADUNI wa kudunduliza, na kuweka akiba, ili waweze kutembelea vivutio mbalimbali,ndani, au nje, ya nchi zao.

..Nitafurahi zaidi kama Watanzani watakuwa na uwezo na utamaduni wa kutembelea vivutio mbalimbali vilivyoko nchini kwetu.
Kwa mfumo upi mkuu?
Huu wa CCM unaojenga ubeberu wa ndani?

Unajua Tanzania ni nchi yenye unyonyaji wa ndani mbaya kuliko ule wa makaburu.

Tanzania Waziri anawaza kujenga familia yake na kuirithisha mali nyingi za kutosha kupitia ofisi.
Hali kadhalika mfagiaji wa ofisi ya waziri naye anawaza kuijenga familia yake na kuirithisha mali nyingi. Yaani kila mtu anawaza mali japo hakuna mfumo wa kuwawezesha wananchi kuishi maisha ya kati na ya chini kupitia vipato vyao vidogo na kuweka akiba ya kuwawezesha kuishi maisha ya raha na amani.

CCM imewafanya watanzania wengi ni wanafiki, wenye roho Mbaya na hasira mioyoni mwao. Watu wanadhulumiana sana ,watu wanawaza kuhujumu ili maisha yaende. Utajengaje nyumba ya milioni 70 kwa mshahara wa laki tatu na nusu. Hakuna mfumo wa kuwajengea nyumba za bei nafuu. Wauza mihogo wanawaza kujenga nyumba ili waondokane na utumwa wa kupanga kwa bei kubwa. Ardhi ipo kubwa lakini maafisa wa ardhi wananeemeka na makesi ya matapeli ya viwanja. Hawana muda wa kupima vuwanja japo vifaa vipi na mishahara wanalipwa. Serikali ya CCM na bunge lake hawana Muda wa kujadili kwa dharura kesho ya watu wasio na vipato vikubwa.
Muda wao ni kulinda chama chao ili kidumu madarakani kupitia dola na sio kuwajengea wananchi maisha ya vizazi vijavyo.

Kuna vyama vyenye Suluhisho la maisha ya mtanzania lakini CCM inatumia kila mbinu kuhakikisha kuwa watanzania hawainuki walipo ili baadae watawala na familia zao wawakodishie watoto wa maskini mashamba na kuwapangishia majumba ya kukaa kwa bei kubwa mana Shirika la nyumba halipo kwa ajili ya kujenga nyumba za watu wa chini.
Jiulize kwa nini Mbagala na Gongo la mboto hakuna nyumba za NHC pale barabarani ili wajasiria mali wa kitanzania nao wapangishe frem kwa bei nafuu wafanye biashara? Nyumba za NHC ni kwa ajili ya matajiri na wahindi.

Bila kuwa na mfumo bora wa makazi haiwezekani kwa mtu wa Maisha ya kati na Chini kuweka akiba ya kwenda kutalii.

Mtu anadunduliza pesa ili ajenge kwa keshi au mkopo wa muda mfupi ambao pia hautoshi kujenga nyumba mpaka ikaisha zaidi ya kuungaunga kwa miaka mingi. Wakati huo huo hakuna mtu wa huyo anaweka akiba ili mtoto asome nasari skuli mtoto angalau ajue kuimba na kucheka kwa kiingereza. Miamala bado inamsubiri bila kujali kuwa ana akiba kiasi gani.

Wenzetu wana mifumo inayochochea Uadilifu na uzalendo wa kweli sio huu wa kinafiki wa akina Hamza wa CCM . Ni mzalendo kwa sababu amevaa nguo ya kijani!!
Wenzetu wanaunganishwa na mifumo bora ya makazi Bora yanayowafanya wananchi wanaishi bila stress za maisha awe Tajiri au maskini wote wanatafuta zaidi pesa ya kula na kutalii au kwenda kwenye viwanja vya michezo.

Afrika tuna mifumo ya ''Law of Jungle.''
 
Naangalia takwimu naona Rwanda na Zanzibar wanakaribiana mno kwa idadi ya watalii wanao tembelea nchi hizo mbili..


Ingawa Rwanda wanatumia pesa mara 50 zaidi kutangaza nchi yao..

Nafikiri ndani ya miaka mitatu ijayo wataiacha Zanzibar .....ingawa Zanzibar ni brand kubwa Sana kiutalii..

Tumlaumi nani??
Takwimu ziko wapi unazoangalia?

Covid ilipungua Zenj itaipita Bara ,hao Rwanda hawawezi kupita.

Ila cha ajabu Mozaini ni ya 5 Africa kwa kutembelewa na wageni wengi,sijui kuna nini cha ajabu kule.
 
Takwimu ziko wapi unazoangalia?

Covid ilipungua Zenj itaipita Bara ,hao Rwanda hawawezi kupita.

Ila cha ajabu Mozaini ni ya 5 Africa kwa kutembelewa na wageni wengi,sijui kuna nini cha ajabu kule.

Mozaini ndo wapi?
 
Sema Watanzania tuna lalamika kwenye kila kitu.

Je, tuko tayari kuingia gharama za kuwekeza kwenyd marketing kama wanavyofanya Rwanda ??

Ila jamani wabongo tunachonga. Likifanyika A tunachonga, likifanyika B tunachonga lisipofanyika tunachonga.
Waache kula hizo hela wawekeze kwenye utalii? hivi unawajua ccm wewe? wataishia kuwaita akina Steve Nyerere ndio wautangaze
 
Naangalia takwimu naona Rwanda na Zanzibar wanakaribiana mno kwa idadi ya watalii wanao tembelea nchi hizo mbili..


Ingawa Rwanda wanatumia pesa mara 50 zaidi kutangaza nchi yao..

Nafikiri ndani ya miaka mitatu ijayo wataiacha Zanzibar .....ingawa Zanzibar ni brand kubwa Sana kiutalii..

Tumlaumi nani??

Hizo takwimu umezitoa wapi?Tuchukulie mwaka 2019 kama benchmark sababu ni kabla ya Covid:

Rwanda walipata watalii 1.63mil wakaingizia nchi $498mi

Zanzibar walipata watalii 538,264 kiasi walichoingiza hakisemwi.
 
Hizo takwimu umezitoa wapi?Tuchukulie mwaka 2019 kama benchmark sababu ni kabla ya Covid:

Rwanda walipata watalii 1.63mil wakaingizia nchi $498mi

Zanzibar walipata watalii 538,264 kiasi walichoingiza hakisemwi.

Tayari Una confirm my point
Rwanda ishaizidi Zanzibar kwa idadi ya watalii
 
Naangalia takwimu naona Rwanda na Zanzibar wanakaribiana mno kwa idadi ya watalii wanao tembelea nchi hizo mbili..


Ingawa Rwanda wanatumia pesa mara 50 zaidi kutangaza nchi yao..

Nafikiri ndani ya miaka mitatu ijayo wataiacha Zanzibar .....ingawa Zanzibar ni brand kubwa Sana kiutalii..

Tumlaumi nani??
Rwanda wanacheza na western media na pia wao wanacheza na figures. Vitu vichache sana na vya kawaida mno mtalii atafanya Rwanda. Kama kutembelea maziwa madogo kama Burera na kwenda kuangalia wale Gorilla. Sema Zanzibar waongeze matangazo kama kwenye premier league ili kupaisha jina ambalo lenyewe tu kwa sasa ni utambulisho mkubwa.
 
Back
Top Bottom