Consigliere
Platinum Member
- Sep 9, 2010
- 12,689
- 26,568
Heshima kwenu wanajamvi.
Kanchi kadogo (Rwanda) na rasilimali chache ukilinganisha na nchi kubwa (Tanzania) yenye rasilimali nyingi kamatushinda katika sekta ya usafiri wa anga kwa kununua ndee mbili mpya aina ya Airbus A300.
Tanzania chini ya utawala wa CCM wa zaidi ya miaka 50 imeshindwa kumiliki hata ndege moja mpya badala yake imekimbilia ndege za kukodisha kwa bei mbaya.
Tunahitaji mabadiliko CCM imeshindwa kuongoza inastahili kuwekwa kando.
RwandAir to acquire EA's first Airbus A330 - The New Times | Rwanda
Siyo lazima wote tununue ndege. Mbona sisi tumenunua mashingingi ya kutembelea viongozi mengi kuliko nchi yoyote ile ya Kiafrica labda hata kuliko nchi nyingi za hata Ulaya na Asia.
Rwanda hawatuwezi bana!