Rwanda Air to acquire EA's first Airbus A330

Rwanda Air to acquire EA's first Airbus A330

CCM ni shida tukifanya mchezo ipo siku tutajikuta hatuna chetu.

Tusiwe na chetu mara ya ngapi, sema tayari hatuna chetu, sasa ni kutumia nguvu za ziada kuvirudisha.
 
Yaani hadi Rwanda wametupita.... inadibi CCM itoke tu, hakuna jinsi

mtapitwa mpk na Burundi manake Somalia wamewapita kidogo subiri siku vita zao za ndani zikikoma tu.
usisahau zanzibar ikipata mamlaka kamili.
Tanzania nchi ya amani endelea kuchagua sisihem manake mkibadili uongozi wapinzani watayaleta ya Libya.
 
Kobe
Mimi siipendi CCM na nitafanya sehemu yangu ya kupiga kura ili iondoke
 
Last edited by a moderator:
ipo siku watafika kama ET
 

Attachments

  • 1441907487870.jpg
    1441907487870.jpg
    24.1 KB · Views: 155
Tanzania yetu kwa mambo ya usafiri wa anga tupo nyuma wameua airtanzania yaani hadi Rwanda wanatushinda??
 
Tanzania tumeongozwa na rais mpu.mbavu kuwahi kutokea dunia hii...
 
Bora nipande gari hizi hazichelewi kuchomoka seat! Tz hamna walichokiweza chini ya ccm

Sio kweli Samuel Sitta amesema serikali ina mipango kabambe ya kulifufua shirika letu kwa hiyo usiwe na wasiwasi tutakuwa nazo kama mia nane hivi.
 
mkuu hiyo signature na jina lako nimepata shauku ya kufahamu zaidi, ina maana yule Gnassingbe Eyadema inakuaje hapo.???

Unataka nipewe ban au we vipi?Kausha.Mi sijamuimposter mtu yeyote awe marehemu awe hai.Haloo!Mbona unataka kunizulia balaa!
 
MMhhhh! Inakuakuwaje Post ya Rwanda JMali asitokeee?!!! No way ataibuka na kali zaidi ya hii tu, Leo au Kesho wait and see.
 
Mkuu masahihisho; Ni airbus 330 sio airbus 300
airbus 330 ni ndege kubwa ,kams Rwanda watainunua basi pongezi Sana kwa brother Kagame.

Tanzania sijui lini nchi itaambulia angalau kununua kadege kapya japo kamoja
inatia huzuni tunabaki kudhalilishwa na ka nchi kadogo kama Rwanda.
Poa tutachagua wenyewe umaskini au utajiri hapo oktoba 25.
Udhalilishwaji huh unaofanywa dhidi ya watz hadi lini?! Kwani hilo toy lina-cost kiasi gani?!
 
Mkuu hivi pale unapoomba mkopo ili ununue gari au kujenga nyumba is that not exciting news kwa mkeo au mmeo? Hata kabla haujatoka na hata hujaagiza gari Japan?? The fact that they have managed to close the deal,which will materialize next year great achievement! Kwa kweli huyu rais, pamoja na mapungufu yake, ameipaisha sana nchi yake, just like Kenya. Sisi tumebaki na tunachokiweza zaidi, longo longo na maneno miiingiii.

Huu ni mwezi Septemba. Angalau imebaki miezi 11 tu kukamilisha mpango wao. Hongera Rwanda.
 
mtapitwa mpk na Burundi manake Somalia wamewapita kidogo subiri siku vita zao za ndani zikikoma tu.
usisahau zanzibar ikipata mamlaka kamili.
Tanzania nchi ya amani endelea kuchagua sisihem manake mkibadili uongozi wapinzani watayaleta ya Libya.
Koba na Kobe , Du ni id ya mtu mmoja au?
 
Watanzania bwana hakuna hata mtu anaeshauri kwanini serikari inunue ndege kutokana na argument ya business opportunity iliyopo. Kitu tunachojua Kenya iliyo invest kwenye viwanja vya ndege kadhaa vyenye hadhi, inayopokea wageni wengi annually kushinda Tanzania na ilipojaribu kusema ifanye investment kwenye ndege imeshia kutafuta madeni makubwa tu.

Leo hii Tanzania ambayo mashirika makubwa kama BA inayofuta hizo route kwa sababu hakuna commercial benefit, KLM ambayo ndege nyingi uishia Kenya kuliko zinazokuja Tanzania direct. Katika mazingira hayo ya kibiashara sisi tunataka serikari ifanye investment ya ndege kubwa kwa kukopa unazipeleka wapi au kuna gap gani ya kushindana kwa ATCL?

Serikari ya Kagame inajulikana kwa kukopa na bunge lake limeshaonyesha huo wasiwasi wao na kwa Kagame wala sio swala linalomsumbua, nadhani kabla auja iga kilakitu tunatakiwa tujiulize kukopa $160+interest hizo ndege zinalipaje hilo deni kwanza na deni lenyewe ni la muda gani.

Mashirika ya ndege yaliyo jaribu tu kufanya strategies za lower prices to lure volume yameishia kufa hao wateja wako wapi wa kuwakopea ndege mpya in the first place, watu awakurupuki nadhani ajira ni tatizo linaloitaji investment zaidi kuliko hili tatizo la kutokuwa na ndege.

Watanzania wengi hatujui challenge za Airline industry,Kenya Airways wanapata hasara ya billions miaka 3 mfululizo.Hii biashara kwa sasa waarabu ndio wanadominate hata wazungu wanapata tabu huku Africa.Wamebaki KLM na SwissAir the rest ni waarabu Emirates,Qatar,Oman Air,Fly Dubai na Etihad nao wataanza December.
Tungeweza kuifufua hiyo Air Tanzania but naamini ingekuwa inatuingizia hasara kubwa sana na tungeendelea kulalamika
 
CCM miaka 41 bado tunakazana na trip za kwenda Chattle kwa Kiongozi wa Malaika, hivi ndege ya Canada ishaachiwa.
Bado haijaachiwa, naamini ingeonekana.
Any way mdogomdogo something is better than nothing
 
Back
Top Bottom