Greenwhich
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 1,337
- 968
- Thread starter
- #61
Hivi kwani kufuata utaratibu kuna shida gani? Nilivyosikia vyama vinatakiwa kwanza kupitisha report zao kwa mkaguzi mkuu wa serikali ambae atapitia akiridhika ata sign na kuweka muhuri wake,kabla ya kupeleka kwa msajiri. Vyama havikupitosha kwa CAG kwa kuogopa kubanwa kimahesabu wenyewe wakakimbilia kupeleka kwa msajiri.VYAMA VYOTE VYA SIASA Acheni ubabaishaji fuateni utaratibu kwani hizo ni KODI ZETU
Umesikia kwa nani ? Are you really a GT?