johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,137
Dr Ruto amewaambia live Majaji kwamba wao ni Wala Rushwa wakubwa na wanaendeshwa na Wanasiasa
Rais Ruto ni kama amerudia kauli ya Mwanasiasa Maarufu nchini na Africa Mashariki Rostam Aziz kwamba Majaji huamua kwa Rushwa na kupigiwa Simu Moja tu
Ruto amemtaka Katibu mkuu wa Ujenzi kuendelea na Ujenzi wa barabara pamoja na Uwepo wa Zuio la mahakama, Ruto amesema Wananchi ndio mahakama ya Haki
Source: Citizen TV
Rais Ruto ni kama amerudia kauli ya Mwanasiasa Maarufu nchini na Africa Mashariki Rostam Aziz kwamba Majaji huamua kwa Rushwa na kupigiwa Simu Moja tu
Ruto amemtaka Katibu mkuu wa Ujenzi kuendelea na Ujenzi wa barabara pamoja na Uwepo wa Zuio la mahakama, Ruto amesema Wananchi ndio mahakama ya Haki
Source: Citizen TV