Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,343
- 33,487
Kumekucha huko ukraine,baada ya mapinduzi yalimwondoa rais wa ukraine wiki iliyopita,mambo si mambo tena,kwani hatari ya janga hili kugeuka vita ya dunia ni kubwa.vikosi vya russia vinazidi kumiminika huko cremea licha ya marekani na EU kutoa matamko makali dhidi ya hatua hiyo.
STAYTUNED.
STAYTUNED.