Smart Guy
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 6,704
- 6,658
Marhaba hujambo?Shikamoo Pogba
Marhaba hujambo?Shikamoo Pogba
Asante, Hongera pia!Njoo tu my dear tugonge shampeni
Pongezi kwake Mbappe, Pogba, GriezmanFrance bingwa wa WC 2018.
Asante, rais wa Croatia amenponza!
Matokeo ya leo pia hayakunishangaza kabisa; niliyaona siku nyingi sana zilizopita ilikuwa ni swala la time tu. Croatio leo ilionekana kutawala mchezo kutokana na uzembe wa midfieled ya Ufaransa, na vile vuile defense ya ufaransa haikuwa katika ubora wake. lakini Fowardline ya Ufaransa bado ilibaki kuwa sharp sana.Hapana aisee siyo kweli labda kwa mbinde na makosa sana kwa upande wa Ufaransa. Wiki mbili iliyopita nilisema hivi Russia World Cup 2018 Special Thread
halafu baadaye nikafanya marekebisho haya Russia World Cup 2018 Special Thread
Kwa sasa hivi sioni mabadiliko tena; bado kombe linaenda Ufaransa
...............umeona?Jombi naipa nafasi kubwa CROATIA sababu ni TALLENTED & TEAM WORK, note kwamba ktk bara la ulaya mpira wa ukweli upo EAST UEROPE,
Heee! Upo?Pongezi kwake Mbappe, Pogba, Griezman