Russia Provides Photos that Kiev Forces Deployed BUK

Russia Provides Photos that Kiev Forces Deployed BUK

....unajua nini Mkuu....kuwepo kwa jet fighters za Ukraine is one thing na kutungua ndege ya abiria is another....no doubt ndege za Ukraine zinaweza kuwa zilikuwepo.......the question remains nani katungua ndege ya abiria?......maswali yaliyoulizwa hapo juu yanaleta utata mwingi zaidi.......
Hebu tazama na kusikiliza vizuri hiyo press conf,. hivi unakumbuka Gen Collin Powell? ndo haya yanakuja, Marekani angekuwa anacho kidhibiti tayari angekuwa ameunguruma, hii imetolewa chambo ili kupata nafasi kumtenga mrusi, ili waikamate Ukraine na pia kwa Urusi kumpa hifadhi Snowden.

Hivi, hawa 300, maisha yao yana thamani kuliko watoto wa ki Palestina? why media za west, wala hazizungumzii, kimia na nchi za kiaarabu kimia, wanakunywa kahawa tu.
 
Mkuu kuna tofauti kubwa kwenye muonekano wa mabati ya fuselage, mabawa au injini ziliyo tobolewa na vipande vipande vya air to air missiles zinazo rushwa na jetfighters - matobo yake yana tofauti kubwa na matobo yatokanayo na surface to air missiles mfano (kombola la BUK). Hapo sioni kama Ukraine inaweza kujitetea.

Warusi, wamesema watoe hizo image tuzione, na wao watatoa kutoka kwenye space. Sasa mpaka saa hii, kwa nini Ukraine Intelligence service, haijatoa kukanusha explanation ya ile video walitoa? na wapeleke wandishi wa kimataifa waka hakiki hiyo sehemu?

KGB, wametoa na kueleza na kueleza ipo sehemu gani, na kama ni uongo, kwa nini Ukraine isiwapeleke hapo na kukanusha.
 
12m ago
[h=2]US intelligence supports theory of rebel 'mistake'[/h]A press conference was held this afternoon by the US office of the director of national intelligence (ODNI), at which select reporters were briefed on US intelligence with regard to MH17, the SA-11 missile system suspected, and rebels' and Russians' alleged participation.
Details are expected soon, but a report from the AP has come out saying that "senior US intelligence officials say they have no evidence of direct Russian government involvement" in the downing of MH17.
 
Haya sasa, kwa nini uchague wandishi, mjifungie ha ha ha ha ha
 
12m ago
[h=2]US intelligence supports theory of rebel 'mistake'[/h]A press conference was held this afternoon by the US office of the director of national intelligence (ODNI), at which select reporters were briefed on US intelligence with regard to MH17, the SA-11 missile system suspected, and rebels’ and Russians’ alleged participation.
Details are expected soon, but a report from the AP has come out saying that “senior US intelligence officials say they have no evidence of direct Russian government involvement” in the downing of MH17.

Kumbe hawana uhakika kwann watoe tuhuma kwa russia?mwisho wa siku dunia itaelewa tu unafiki wa us'ila ni vyema sasa dunia igeuze macho na kuangalia mauaji ya halaiki huko palestine wasisubili tena marekani aseme
 
Mkuu kuna tofauti kubwa kwenye muonekano wa mabati ya fuselage, mabawa au injini ziliyo tobolewa na vipande vipande vya air to air missiles zinazo fyatuliwa na jetfighters - matobo yake yana tofauti kubwa na matobo yatokanayo na surface to air missiles mfano (kombola la BUK). Hapo sioni kama Ukraine inaweza kujitetea.

Na kwanini hao ma-rebels wana-tamper na eneo la tukio na hata miili ya watu kama ambavyo wamekwishaonekana?......ni ukweli usiofichika kuwa hao rebels wako supported na Russia.....kwa nini mnataka kumuona Mrusi ni kondoo kwenye hii saga.....watu tunataka uchunguzi huru ufanyike ili ukweli ujulikane......kama ni picha hata Ukraine wametoa picha......kinachotakiwa ni uchunguzi ufanyike......hii mambo ya kuharibu eneo la tukio ndio dishonest yenyewe.......
 
Na kwanini hao ma-rebels wana-tamper na eneo la tukio na hata miili ya watu kama ambavyo wamekwishaonekana?......ni ukweli usiofichika kuwa hao rebels wako supported na Russia.....kwa nini mnataka kumuona Mrusi ni kondoo kwenye hii saga.....watu tunataka uchunguzi huru ufanyike ili ukweli ujulikane......kama ni picha hata Ukraine wametoa picha......kinachotakiwa ni uchunguzi ufanyike......hii mambo ya kuharibu eneo la tukio ndio dishonest yenyewe.......
[h=1]US: No evidence of direct Russian link to plane[/h]
 
Warusi, wamesema watoe hizo image tuzione, na wao watatoa kutoka kwenye space. Sasa mpaka saa hii, kwa nini Ukraine Intelligence service, haijatoa kukanusha explanation ya ile video walitoa? na wapeleke wandishi wa kimataifa waka hakiki hiyo sehemu?

KGB, wametoa na kueleza na kueleza ipo sehemu gani, na kama ni uongo, kwa nini Ukraine isiwapeleke hapo na kukanusha.

Mkuu Warusi noma, wana kawaida ya kufanya vitu vyao kimya kimya - huwa awaoni sababu za kijitapa tapa au kijitangaza, we chukulia mfano wa kusema wakati ndege inatunguliwa Satellite ya Merikani ilikuwa inakatiza sehemu ya tukio - kwa nini? Mpaka sasa Wamerikani hawajakanusha habari hiyo - wamekaa kimya hawajajibu swali; Je, kwa nini Traffic controller wa Ukraine Control Tower aliwambia Mapilot wa ndege ya abiria wabadirishe muelekeo na kujiingiza katika anga hatari ili chochote kitakacho tokea wapate visingizio vya kulahumu watu wengine hasa hasa mahasimu wao, kwa nini John Kerry na OBAMA walikurupuka asubuhi asubuhi kumlahumu Putin bila ya kuwa na ushahidi wa kutosha, kwa akili za kawaida Rais Putin angepata faida gani kwa kuitungua ndege ya abiria!!

Watu tunacho sahau ni kwamba Ukraine ina historia ya kutungua ndege za abiria, oh yes-waliwahi kutungua Viongozi muhimu wa Serikali yao walipo kuwa wanarudi nyumbani kutoka ziarani, kama wanaweza kuua robo ya Cabinet yao - leo hii ndio watajali kutungua ndege ya abiria for political reasons ili wapate visingizio vya kulahumu watu/raia wanao pinga Serikali iliyopo madarakani huko Ukraine, Serikali ambayo tukiwa wakweli ni Serikali iliyo mpindua Rais aliyekuwa amechanguliwa kidemokrasia nchini mwake, si Merikani ndio ujifanya kilanja/msimamizi wa Demokrasia Duniani - kwa nini haiku wahi kukemea kuondoka madarakani kwa Rais wa Ukraine wa wakati huo?
 
Hebu tazama na kusikiliza vizuri hiyo press conf,. hivi unakumbuka Gen Collin Powell? ndo haya yanakuja, Marekani angekuwa anacho kidhibiti tayari angekuwa ameunguruma, hii imetolewa chambo ili kupata nafasi kumtenga mrusi, ili waikamate Ukraine na pia kwa Urusi kumpa hifadhi Snowden.

Hivi, hawa 300, maisha yao yana thamani kuliko watoto wa ki Palestina? why media za west, wala hazizungumzii, kimia na nchi za kiaarabu kimia, wanakunywa kahawa tu.

We have heard enough of the paleshitians
 
....that has always been the case.......hakuna cha kushangaza hapo......siku zote Russians have been playing indirectly to these regions instability......

So does the US....
 
Mkuu Warusi noma, wana kawaida ya kufanya vitu vyao kimya kimya - huwa awaoni sababu za kijitapa tapa au kijitangaza, we chukulia mfano wa kusema wakati ndege inatunguliwa Satellite ya Merikani ilikuwa inakatiza sehemu ya tukio - kwa nini? Mpaka sasa Wamerikani hawajakanusha habari hiyo - wamekaa kimya hawajajibu swali; Je, kwa nini Traffic controller wa Ukraine Control Tower aliwambia Mapilot wa ndege ya abiria wabadirishe muelekeo na kujiingiza katika anga hatari ili chochote kitakacho tokea wapate visingizio vya kulahumu watu wengine hasa hasa mahasimu wao, kwa nini John Kerry na OBAMA walikurupuka asubuhi asubuhi kumlahumu Putin bila ya kuwa na ushahidi wa kutosha, kwa akili za kawaida Rais Putin angepata faida gani kwa kuitungua ndege ya abiria!!

Watu tunacho sahau ni kwamba Ukraine ina historia ya kutungua ndege za abiria, oh yes-waliwahi kutungua Viongozi muhimu wa Serikali yao walipo kuwa wanarudi nyumbani kutoka ziarani, kama wanaweza kuua robo ya Cabinet yao - leo hii ndio watajali kutungua ndege ya abiria for political reasons ili wapate visingizio vya kulahumu watu/raia wanao pinga Serikali iliyopo madarakani huko Ukraine, Serikali ambayo tukiwa wakweli ni Serikali iliyo mpindua Rais aliyekuwa amechanguliwa kidemokrasia nchini mwake, si Merikani ndio ujifanya kilanja/msimamizi wa Demokrasia Duniani - kwa nini haiku wahi kukemea kuondoka madarakani kwa Rais wa Ukraine wa wakati huo?

Uchaguzu wa kidemokrasia kama wa sadam na gadafi?
 
....that has always been the case.......hakuna cha kushangaza hapo......siku zote Russians have been playing indirectly to these regions instability......

Kwani Ukraine hajawahi kuwa sehemu USSR, nani aliwalazimisha Serikali ya Urusi ya wakati huo kuruhusu Ukraine, Moldova, Georgia, Khazastan nk wajiamulie mambo yao wenyewe, mimi naona Taifa lenye uchu wakueneza instability sio kwa Eastern Europe pekee hata Middle East na Latin Amerika hapo muhusika mkuu ni Uncle SAM.

Kuna haja gani Merikani kutaka kui-ring Urusi by deploying missiles and Military bases in the former Warsaw Pact Members kwa visingizio eti hiyo itasaidia kuzuia makombora ya IRAN na Korea!! - ulaghai mtupu, wanafikiri Warusi hawana akili!! Je leo hii URUSI isambaze makobora yao katika nchi zifuatazo: CUBA, MEXICO, THE BAHAMAS, NICARAGUA, VENEZUELA, BELIZE, DONIMICAN REPUBLIC alafu na wao watoe visingizio kwamba wanataka kuwadhibiti ma terrorists wenye sura za kizungu wasije kushambulia meli zao na Taifa lao, Je Merikani inaweza kweli kukaa kimya ikimwangalia Mrusi anasambaza makombora in Americans' backyard??? Jibu ni hapana.

Kwa nini watu wengine hawako concern na malpratise za Wamerikan in Eastern Europe, mnahanza kuwalahumu Warusi wanapo kuwa concern na usalama wa taifa lao, nani ambaye anaweza kukubali mtu akuletee adui yako mlangoni eti kwa kuwa umewaruhusu wajiamlie mambo yao wenyewe. Wamerikani ni vigehu gehu sana uwezi kujua kesho atasema/fanya nini!! Chukulia mfano huu:Baada ya vita baridi kati ya Urusi na Merikani kwisha, Urusi na Merikani walikubaliana kwamba NATO hisi-expand kuelekea EAST, nini kilikuja kutokea baadae - Merikani imevunja makubaliano hayo, badala yake wako mbioni kusambaza makombora na kuweka early warning RADARS Ulaya Mashariki wakiwa na lengo la kuishambulia Urusi kwa kushtukiza siku za usoni, wanacho sahau ni kwamba Urusi sio IRAN au Syria - wakithubutu kuishambulia URUSI basi wakumbuke kwamba Merikani nzima will never see light of the day i.e live to tell the tale - and they know IT. Ninacho taka kumaanisha hapa waache kuvuruga Mataifa, michezo yao inaweza kabisa kufumua vita ya ya tatu ya DUNIA, sina tatizo nao nisicho penda ni vurugu zao na kulazimisha mambo. asipo patana na Taifa fulani basi anataka Dunia nzima ilichukie bbila sababu.
 
wewe ambaye hujawa muddied na western media.......ndio unaamini kuwa Russians have given the proof of what happened.......what makes you so certain kwamba hujawa the spoilt brat by Russian intelligence machinery/propaganda.....upuuzi wa Russia ndio unaosababisha instability not only on that region.....upuuzi wao.... go beyond...mpaka ghuba ya Uajemi na Middle East.......hiyo ni black and white fact......

ur serious misinformed man, who has caused instability in iraq, libya, egypt, gazza, syria,afghanstan, somalia, yemen, pakistan???? was it the russian who sent their bombs and jets to topple the legitimate governments??? its your western corrupt governments trying to impose their imperialist issues!

they topple the properly functioning government and allows room for lawlessness to spread if your smart enough tell me why in iraq and libya with all the fighting and killing going on there is no fighting in areas with oil installations not even a single bomb you only hear killing and bombs exploding in markets and residential areas????

they allow you to fight each other, they give you weapons to kill each other while they take your resources do you know the big guys knows the world is over populated, what if this is another scheme to depopulate the world???

i can assure you people in kiev, baghdad and libya would wish their old leaders to be in power by now!!!
 
Haya sasa, kwa nini uchague wandishi, mjifungie ha ha ha ha ha

Hicho kitendo nami kimenishangaza sana. Unachagua waandishi wachache kisha unawapa briefing? Waliogopa maswali korofi au?
 
Only Russians need to do is to prove their point......not just saying it.......why it took them so long to proclaim what they claim to know?......

Sometimes it is not only about proving but when is it done, may be the green light is just on!!!!
 
It still doesn't explain anything. Why would Ukraine deploy BUK missiles anyway? The rebels don't have fighter jets which would necessitate all these. I doubt these reports.
This is a probing method, the answers to the posed questions will further open the avenue to walk through!!!!!
 
Na kwanini hao ma-rebels wana-tamper na eneo la tukio na hata miili ya watu kama ambavyo wamekwishaonekana?......ni ukweli usiofichika kuwa hao rebels wako supported na Russia.....kwa nini mnataka kumuona Mrusi ni kondoo kwenye hii saga.....watu tunataka uchunguzi huru ufanyike ili ukweli ujulikane......kama ni picha hata Ukraine wametoa picha......kinachotakiwa ni uchunguzi ufanyike......hii mambo ya kuharibu eneo la tukio ndio dishonest yenyewe.......

"Scene contamination" sio jambo zuri hata kidogo kama kweli kuna nia ya kupata taarifa ya tukio na tukio tu sio vinginevyo
 
Siyo rahisi kufahamu ukweli. Remembar Saddam Hussein was supposed to have gassed the Kurds. Well,it was Mossad who did it.
 
Back
Top Bottom