Russia Provides Photos that Kiev Forces Deployed BUK

Russia Provides Photos that Kiev Forces Deployed BUK

Hizo zote ni speculations tu, its just matter of time, the truth will come out! soon.
 
Urusi alichofanya ni sawa coz tukio la ajali hiyo ya ndege ni kubwa mno and so halikuhitaji majibu ya kukurupuka kama Ukraine na USA walivyofanya. Before commenting, Russia worked thoroughly with its forensic data pertaining to the event and then came up with such findings.

Na kumbuka, kuna uwezekano Urusi anazo data za nini kilitungua ndege ya Malaysia ila inasubiri kwanza mazingira sahihi ili iwavue nguo Ukraine na USA. Tusubiri tuone......
Only Russians need to do is to prove their point......not just saying it.......why it took them so long to proclaim what they claim to know?......
 
Mrusi utampenda tu linapokuja suala la "usalama", Kiev kama walilishwa kasa sasa watamtapika tu na forensic itaonesha alipovuliwa na waliomuuza!!!!!
apakak, Swat, Elungata. Jumong S, Ogah

Kipindi kimeanza huku!!!

Nilishasema tangia mapema, marekani ilikuwa inatafuta sapoti na sababu za kuishambulia Russia sasa ishu inakuwa ngumu kwani ushahidi wa kuungaunga hauna tija katika kui envolve urusi na shambulio hilo. Maana walimsingizia Sadam eti ana WMD wakaangamiza nchi ujanja huo huo wanataka kuutumia kwa Urusi lakini kazi wanayo.
 
Last edited by a moderator:
Nilishasema tangia mapema, marekani ilikuwa inatafuta sapoti na sababu za kuishambulia Russia sasa ishu inakuwa ngumu kwani ushahidi wa kuungaunga hauna tija katika kui envolve urusi na shambulio hilo. Maana walimsingizia Sadam eti ana WMD wakaangamiza nchi ujanja huo huo wanataka kuutumia kwa Urusi lakini kazi wanayo.


Mkuu hili litatupa majibu ya matukio mengi sana by implication!!!
Kuna maarifa yatafunguka tu kwa tukio hili
 
Back
Top Bottom