neo1
JF-Expert Member
- Sep 1, 2013
- 577
- 838
Kuna habari za kuaminika Kuwa Russia ameingia Libya na anawaunga mkono Haftar na pia amewapa silaha nzito,
Pia kuna wanausalama wa GRU na vikosi toka Russia vimepelekwa Mashariki mwa Libya kwa kutoa mafunzo.. pia kuna kambi kubwa mbili huko Tobruk na Baghaz pia inaaminika siraha na makombora ya kinga ya anga S300 zipo tayari huko Libya
My take nini kinafuata hapo Libya, je atafanikiwa kuikomboa na kuiunganisha kama mwanzo au nae yupo kunyonya kama wengine??
UK Intel Claims Putin Aims to Make Libya "New Syria" to Pressure West - Reports - Sputnik International
Na pia kuna habari kuwa waziri wake amefanya mazungumzo na serikali ya Libya...
Je hii bahati Mbaya kweli??
Russia's Deputy Foreign Minister Holds Talks With Head of Libyan Government
Pia kuna wanausalama wa GRU na vikosi toka Russia vimepelekwa Mashariki mwa Libya kwa kutoa mafunzo.. pia kuna kambi kubwa mbili huko Tobruk na Baghaz pia inaaminika siraha na makombora ya kinga ya anga S300 zipo tayari huko Libya
My take nini kinafuata hapo Libya, je atafanikiwa kuikomboa na kuiunganisha kama mwanzo au nae yupo kunyonya kama wengine??
UK Intel Claims Putin Aims to Make Libya "New Syria" to Pressure West - Reports - Sputnik International
Na pia kuna habari kuwa waziri wake amefanya mazungumzo na serikali ya Libya...
Je hii bahati Mbaya kweli??
Russia's Deputy Foreign Minister Holds Talks With Head of Libyan Government