Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
Wana jf kama tulivyopiga kelele wahusika wa epa wafikishwe sehemu zinaotakiwa kutokana na uhalifu wake ,kumbe tunawapa ajira nyingine kitengo kilekile ambacho tumekuwa tukikiamini na kuwaomba serikali na rais wake watufikishie uko kupata haki yao kwa walichokifanya!!!
Katika gazeti la leo la tanzania daima nimesikitika kuona makarani wakilalamika kwamba mahakimu na pp wanachukua rushwa na kuna ushahidi kwamba hata hao wanaotoka kwa dhamana wengi hawajafkisha masharti yanayotakiwa !!habari zaidi zinasema makarani walienda kwa hakimu mfawidhi mkuu mama euphenia mingi
na kutolewa nje:baada ya hapo wakapelekwa kwa msaidizi wake ambaye akusaidia kitu!!!!jamani mi sijui tena na sema sijui hii nchi
anaijua mungu tu
Katika gazeti la leo la tanzania daima nimesikitika kuona makarani wakilalamika kwamba mahakimu na pp wanachukua rushwa na kuna ushahidi kwamba hata hao wanaotoka kwa dhamana wengi hawajafkisha masharti yanayotakiwa !!habari zaidi zinasema makarani walienda kwa hakimu mfawidhi mkuu mama euphenia mingi
na kutolewa nje:baada ya hapo wakapelekwa kwa msaidizi wake ambaye akusaidia kitu!!!!jamani mi sijui tena na sema sijui hii nchi
anaijua mungu tu