R.I.P. Amina
viti maalum ni vitu maalum sio???????
Kuna mmoja katoa rushwa ya ngono, akaajiriwa BOT then akapewa ubunge wa viti maalumu kisha mjomba wake akapewa ukuu wa mkoa. Hapo patamu
. "Alichokisema Ngoye ni sahihi kabisa, rushwa ya ngono ipo hata kwa wabunge.
Wakati huo huo, baadhi ya wabunge wanaounda kamati hiyo wamewataka wanafunzi wanaoombwa rushwa ya ngono kutoa taarifa kwa maofisa wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) ili wahusika wakamatwe na kushitakiwa, kwa sababu kitendo hicho, licha ya kuwa kosa la jinai, kinatumiwa na wengi kusambaza VVU.
CHANZO: Gazeti la Habari Leo
Orodhesha ilitupate kuwazomea.
taabu ni pale unapo toa hiyp rushwa harafu unakosa na huo ubunge