Bushmamy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 8,848
- 15,252
Wanawake wengi wanaoenda kujifungulia katika Hospitali za serikali wamekuwa wakilalamika juu ya kuombwa rushwa na manesi wakati wa kujifungua ili wapate huduma nzuri.
Wamama wengi ambao walikwisha kupata huduma ya kujifungua katika Hospitali za serikali au vituo vya afya wamesema kuwa ili upate huduma nzuri wakati wa kujifungua kutoka kwa manesi inatakiwa umpe nesi angalau elfu kumi, hata elfu tano pia hupokea.
Wengi wamehatarisha maisha na hata kupoteza maisha ya ya watoto wao wakiwa chumba cha kujifungulia kutokana na kushindwa kutoa rushwa,.
Baadhi ya hospitali ambazo zimekuwa zikilalamikiwa sana kwa kuomba rushwa kwa wamama wanaoenda kujifungua ni Hospital ya Ngarenaro,na levolosi zilizopo jijini Arusha. Na wamama wengi waliokwisha pata huduma ya kujifungulia hapo wamelalamika kuombwa rushwa na manesi wakati wa kujifungua.
Wamama wengi ambao walikwisha kupata huduma ya kujifungua katika Hospitali za serikali au vituo vya afya wamesema kuwa ili upate huduma nzuri wakati wa kujifungua kutoka kwa manesi inatakiwa umpe nesi angalau elfu kumi, hata elfu tano pia hupokea.
Wengi wamehatarisha maisha na hata kupoteza maisha ya ya watoto wao wakiwa chumba cha kujifungulia kutokana na kushindwa kutoa rushwa,.
Baadhi ya hospitali ambazo zimekuwa zikilalamikiwa sana kwa kuomba rushwa kwa wamama wanaoenda kujifungua ni Hospital ya Ngarenaro,na levolosi zilizopo jijini Arusha. Na wamama wengi waliokwisha pata huduma ya kujifungulia hapo wamelalamika kuombwa rushwa na manesi wakati wa kujifungua.