Rushwa Trafiki Kibamba Hospotali inatisha!!

Rushwa Trafiki Kibamba Hospotali inatisha!!

Mwitongo

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2009
Posts
312
Reaction score
362
Ndugu zangu, trafiki kutoka Kituo cha Kwa Yusuf, na wakati mwingine Kibaha, kila siku yanapotoka maji hapa Kibamba Hospitali. Maji hutoka Jumapili na JUmatano. Hivi leo ni Jumatano,kuanzia sasa hivi wapo hapa wamejaa tele. Kila gari la maji wanachukua Sh 2,000. Kwa siku mapato yao yanazidi Sh milioni 1.5. Hii rushwa inatisha. Madereva wanalia, lakini hawana ujasiri wa kulisema hili. Hapa nawekeamo ka-picha muone mchongo unaofanywa na hawa trafiki. trafiki maji.jpg
 
Ebu tulia kwanza mkuu, lete habari kwa utaratibu ili ueleweke
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom