NAMTUMBA
JF-Expert Member
- Feb 20, 2014
- 1,939
- 594
Kama hadithi fulani tamu lakini ndo ishatokea.Hapa Nachingwea Rushwa Chadema kama ccm tu. Wakati watia nia 5 waliojitokeza kuomba ridhaa ya chama hicho awali kabisa katibu wa wilaya ndg. NAKANYOMWA aliwaambia watia nia hao kwamba kati ya kata 34 za jimbo hilo, ni kata 22 tu ndo zinauongozi na wajumbe kamili wa mkutano maalaumu wakura zamaoni. NAKANYOMWA aliwataka watiania hao kujinadi kata 22 tu ambazo zinauongozi na kweli watiania walijinadi kama walivyoelekezwa.
Ikafika wakati wakuchukua fomu nakanyomwa akawaambia watiania muda wakujinadi kwa wananchi umeisha. Watiania wakatii maagizo ya kiongozi wao. Kumbe katibu huyo wa wilaya analake jambo. Kwa siri akawa anaendelea kumnadi mgombea anaemtaka yeye.
Kwa siri na kinyume na katiba ya Chadema NAKANYOMWA akishirikiana na mwkt.wa kijiji cha Stesheni kijiji anachotoka mbunge wa sasa Mathias chikawe, pia akishirikiana na red brigedi ndg. Tabata wakaunda uongozi kwa SIRI wiki moja kabla ya kura za maoni kwenye kata 12 ambazo awali hakukuwa na uongozi.
Wakamchukua mtia nia mmoja kumna hizo kata 12 huku watiania wengine wakinyimwa fursa kujinadi kata hizo. Wakachagua viongozi feki 9 ktk kata 12 na kujihakikishia kura 118 kabla ya uchaguzi kwa ya mtiania anayemtaka bwana NAKANYOMWA.
Kwa tafsiri nyingine kwamba mshindi alikuwa tayari anakura 118 kabla ya uchaguzi.
Siku yakura zamaoni ilipofika watia nia wote wakachanga pesa za kusafirisha wapiga kura wa vijijini lakini bwana NAKANYOMWA akishirikiana na bwana Lijawa na Tabata wakatoa luga ya vitisho kwa wapiga kura kwamba nagari hayo yameletwa na Mmoto hivyo wamchague Mmoto.
Hii kampeni chafu na dhuluma kwa watiania walioshindwa uchaguzi. Ndani ya fuso zilizobeba wapigakura NAKANYOMWA aliweka mamluki wakugawa pesa kwa wapiga kura. Pia ndani ya UKUMBI kulikamatwa vipeperushi vikisambazwa kwa wapigakura vikihamasisha kumchagua Mmoto.
Hatimae Mmoto akatangazwa mshindi kwa dhuluma.
Ikafika wakati wakuchukua fomu nakanyomwa akawaambia watiania muda wakujinadi kwa wananchi umeisha. Watiania wakatii maagizo ya kiongozi wao. Kumbe katibu huyo wa wilaya analake jambo. Kwa siri akawa anaendelea kumnadi mgombea anaemtaka yeye.
Kwa siri na kinyume na katiba ya Chadema NAKANYOMWA akishirikiana na mwkt.wa kijiji cha Stesheni kijiji anachotoka mbunge wa sasa Mathias chikawe, pia akishirikiana na red brigedi ndg. Tabata wakaunda uongozi kwa SIRI wiki moja kabla ya kura za maoni kwenye kata 12 ambazo awali hakukuwa na uongozi.
Wakamchukua mtia nia mmoja kumna hizo kata 12 huku watiania wengine wakinyimwa fursa kujinadi kata hizo. Wakachagua viongozi feki 9 ktk kata 12 na kujihakikishia kura 118 kabla ya uchaguzi kwa ya mtiania anayemtaka bwana NAKANYOMWA.
Kwa tafsiri nyingine kwamba mshindi alikuwa tayari anakura 118 kabla ya uchaguzi.
Siku yakura zamaoni ilipofika watia nia wote wakachanga pesa za kusafirisha wapiga kura wa vijijini lakini bwana NAKANYOMWA akishirikiana na bwana Lijawa na Tabata wakatoa luga ya vitisho kwa wapiga kura kwamba nagari hayo yameletwa na Mmoto hivyo wamchague Mmoto.
Hii kampeni chafu na dhuluma kwa watiania walioshindwa uchaguzi. Ndani ya fuso zilizobeba wapigakura NAKANYOMWA aliweka mamluki wakugawa pesa kwa wapiga kura. Pia ndani ya UKUMBI kulikamatwa vipeperushi vikisambazwa kwa wapigakura vikihamasisha kumchagua Mmoto.
Hatimae Mmoto akatangazwa mshindi kwa dhuluma.