Rushwa na Tanesco

Rushwa na Tanesco

Tafadhali tupatie ushirikiano kwa kutoa taarifa kamili kwetu au TAKUKURU kwa hatua zaidi
TANESCO Dar es salaam fuatilieni muenendo wa wafanyakazi wenu wanaotembea na lile lorry double cabin la kijani hasa likiwa maeneo ya Tandale/Sinza mtashangaa.
Trust me they make more money than your Regional Manager
 
TANESCO Dar es salaam fuatilieni muenendo wa wafanyakazi wenu wanaotembea na lile lorry double cabin la kijani hasa likiwa maeneo ya Tandale/Sinza mtashangaa.
Trust me they make more money than your Regional Manager
Tafadhali njoo inbox tusaidie namba yako na namba ya gari kwa hatua zaidi

Ahsante sana kwa taarifa
 
Tafadhali njoo inbox tusaidie namba yako na namba ya gari kwa hatua zaidi

Ahsante sana kwa taarifa
Ngoja nifuatilie ni nakili namba zake Ila kinara wao jina lake linaanza na F, huyu mpaka jumapili na public holidays hapumziki
 
Jitahidini katika swala la umeme kukatikakatika, nipo hapa Kawe tangu asubuhi hakuna umene. Nategemea saluni yangu kulisha watoto wangu, leo watakula nini? Na mwekezaji kutoka nje atafanyaje. Msimuangushe JPM katika nchi ya viwanda.
 
Jitahidini katika swala la umeme kukatikakatika, nipo hapa Kawe tangu asubuhi hakuna umene. Nategemea saluni yangu kulisha watoto wangu, leo watakula nini? Na mwekezaji kutoka nje atafanyaje. Msimuangushe JPM katika nchi ya viwanda.
Ahsante kwa taarifa tumepokea kwa hatua zaidi
 
Back
Top Bottom