rosemarie JF-Expert Member Mar 22, 2011 6,887 3,412 Aug 26, 2012 #1 kuna taarifa tumepata makarani wa sensa wanadai rushwa ili uhesabiwe'jamani rushwa mpaka kwenye sensa tutafika? Tunaomba serikali ya ccm imulike hilo na kuchuka hatua
kuna taarifa tumepata makarani wa sensa wanadai rushwa ili uhesabiwe'jamani rushwa mpaka kwenye sensa tutafika? Tunaomba serikali ya ccm imulike hilo na kuchuka hatua
Kitaeleweka JF-Expert Member Jul 30, 2012 394 88 Aug 26, 2012 #2 Mbona haiingi akilini? Hebu eliza vizuri. Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
BHULULU JF-Expert Member Jun 28, 2012 4,986 2,008 Aug 26, 2012 #3 mhhhhhhhhhhhhhhhh!!!!!!!!??????????????
rosemarie JF-Expert Member Mar 22, 2011 6,887 3,412 Aug 26, 2012 Thread starter #4 yaani tumefanya rushwa kama sehemu ya maisha yetu
HASSAN SHEN JF-Expert Member Mar 26, 2009 428 69 Aug 26, 2012 #6 Afadhali iwe ili sababu zangu za kutohesabiwa ziongezeke
HASSAN SHEN JF-Expert Member Mar 26, 2009 428 69 Aug 26, 2012 #7 Afadhali iwe hivyo ili sababu zangu za kutohesabiwa ziongezeke
Easymutant R I P Jun 3, 2010 2,564 1,129 Aug 26, 2012 #8 Hayo mie hayajanikuta maana ningepata sababu..ila wana maswali yao yanaboa kweli kweli like Umeshatahiriwa?
Hayo mie hayajanikuta maana ningepata sababu..ila wana maswali yao yanaboa kweli kweli like Umeshatahiriwa?