Rushwa, Kujuana, Ukabila katika Halmashauri ya Moshi

Rushwa, Kujuana, Ukabila katika Halmashauri ya Moshi

kuna jamaa alienda marangu kuoa,sehemu moja inaitwa kiraracha,nikamsindikiza nikacheka sn nilichokiona!!!eti alete pombe pipa 12,mbuzi 2,kondoo mmoja,mguu mmoja wa ng'ombe,blanket 2,khanga za mashangazi walikuwa 9,kamba,alipie kikao cha kuja kwake ie chakula na vinywaji,nk then alipe mahari mil.1.5,jamaa akawambia ntarudi akampiga chini demu japo tayari alishampa mimba,ile hela kwa hasira akaongezea hela kidogo akanunua spacio,na akarudi kwao mbeya akaoa akina atuganile!!mapenzi yenyewe hawajui,shape ndo vile juu wapana chini km wanatembelea mikono!!!!
dada zetu hawabweteki na kuolewa kwani wanajiweza na ni wachapakazi, mahari ya njiwa bakini nayo huko huko kwenu
 
Acha kudanganya Umma hakuna Halmashauri inayoruhusiwa kuajiri Officers Cadre imeruhusiwa kada za chini tu,Hao walimu unaosema wameajiliwa Mara ya pili sio kweli hakuna utaratibu wa kumwajiri mtu Mara mbili sema inawezekana walimu hao bachelor degree wamesoma Biashara ie Bachelor of Commerce au nyingine inayoshabiana na Hvyo wameomba kubadilishiwa muundo wa Utumishi kwa mujibu wa scheme of service ya wa 2002 pamoja nyaraka mbalimbali zilizopo zinazoruhusu mtumishi wa Umma kufanyiwa (Recategorization) khs hilo la BVR kama unaona hujatendewa haki na una uwezo Muone DED mbona kazi zenyewe hamuwezi mnanga'ng'ania tu. Angalizo uwe unaposti kitu ambacho unakijua sio kukurupuka tu.

well said mkuu! umemaliza yote
 
Kwa kweli siwapendi hawa watu kwa favouritsm

Wanajitengenezea chuki katika jamii bila wao kujua, hawa ndugu wanachukiwa pembe zote . Kwanza ni wezi, wabaguzi, wadini, alafu kitu kimoja ni kwamba wamerithi tabia za kujiona wao ni bora na si mwingine katika dunia ya leo. Hizi tabia za wazee wao wa kale wanafikiri zitawasaidia katika dhama hizi mpya ambapo kila mtu anamhitaji mwenzie duniani kote, hawa wameendelea kukaa gizani na itawagharimu.
 
wapo wangapi???majority ni wachaga tena hawana sifa,kila siku kuhamishwa hamishwa kwa kukosa sifa!!toa mifano halisi acha mihemko!!!utaachaje kukemea ukabila wakati sasa ukabila na hata udini umeibuka kwa kasi,tunyamaze ili uendelee kukua???hukusikia watu wakilalama TRA walijaa wachaga kipindi Basil Pesambili Mramba akiwa waziri wa Fedha???hukusikia barabara iliyowekwa kiwango cha lami yakutoka njia panda ya rombo hadi rombo haikupaswa kujengwa huko ilifanyika hivyo kwa ushawishi na amri ya Mramba wakati akiwa waziri wa fedha???mifano ipo mingi tu na ndio maana NI LAZIMA TUKEMEE UKABILA NA UDINI(VINAENDANA PAMOJA KWANI UKIPROMOTE KABILA FLANI KWA UPANDE MWINGINE UMEPROMOTE DINI FLANI) so ni lazima tuandike na tukemee haya bila kujali nani atachukia au nani atapenda!!!
acha kukurupuka wewe! jambo usilolijua ni sawa na usiku wa kiza! pesa ya ile barabara ilitolewa na NORAD tangu 2003! zikatumika kwa matumizi mengine, 2006 wanorway wakadai zirud kama hazikwenda kunakotakiwa, wakt wa bajet wabunge walikataa kupitisha hadi PM akaitisha kikao cha dharura cha wabunge wa chama kwenda kuwaambia ukweli ndio wakarud wakapitisha ile bajeti. usiwe unakurupuka tu tafuta hoja nyingine ya kuendeleza chuki yako ya kikabila, cjui ww ni mmatumbi au mkwere!
 
dada zetu hawabweteki na kuolewa kwani wanajiweza na ni wachapakazi, mahari ya njiwa bakini nayo huko huko kwenu

Kwahiyo mmewafanya wawe maduka ya kuwatajirisha? umenikumbusha three suitors One husband. Alafu kaka unaona sifa dada ako kukaa msimbe? mnataka kuwafanya wenyewe siyo? ama ndo Freemason hii? na ndo maana mnaitwa wachawi make mnashinda makanisani huku dhambi zote mnazo nyie na mikono yenu imejaa damu za watu.
 
Wanajitengenezea chuki katika jamii bila wao kujua, hawa ndugu wanachukiwa pembe zote . Kwanza ni wezi, wabaguzi, wadini, alafu kitu kimoja ni kwamba wamerithi tabia za kujiona wao ni bora na si mwingine katika dunia ya leo. Hizi tabia za wazee wao wa kale wanafikiri zitawasaidia katika dhama hizi mpya ambapo kila mtu anamhitaji mwenzie duniani kote, hawa wameendelea kukaa gizani na itawagharimu.

Mwenyekiti wa Bodi ya Kahawa Kagera (Kwa wahaya) ni mchagga..
 
Mwenyekiti wa Bodi ya Kahawa Kagera (Kwa wahaya) ni mchagga..

Hawazuiliwi kwenda popote lakini kama wakiendelea na tabia hizi wataanza kuwa wanafukuzwa kwenye miji ya watu.
 
Hawazuiliwi kwenda popote lakini kama wakiendelea na tabia hizi wataanza kuwa wanafukuzwa kwenye miji ya watu.

Wangekuwa na hizo tabia mnazopiga nazo kelele humu kila siku wangekataliwa kila mahali.. Ajabu ni kwamba wapo kila kijiji cha nchi hii na wanaishi vizuri na watu wa asili waliyoikuta... Hakuna Mtanzania anayethubutu kuingia nyumba ya muhaya kuomba hata chumvi
 
Wanajitengenezea chuki katika jamii bila wao kujua, hawa ndugu wanachukiwa pembe zote . Kwanza ni wezi, wabaguzi, wadini, alafu kitu kimoja ni kwamba wamerithi tabia za kujiona wao ni bora na si mwingine katika dunia ya leo. Hizi tabia za wazee wao wa kale wanafikiri zitawasaidia katika dhama hizi mpya ambapo kila mtu anamhitaji mwenzie duniani kote, hawa wameendelea kukaa gizani na itawagharimu.

Bebeni na mapanga kabisa chuki haitoshi tu tumbafu zenu
 
Wanajitengenezea chuki katika jamii bila wao kujua, hawa ndugu wanachukiwa pembe zote . Kwanza ni wezi, wabaguzi, wadini, alafu kitu kimoja ni kwamba wamerithi tabia za kujiona wao ni bora na si mwingine katika dunia ya leo. Hizi tabia za wazee wao wa kale wanafikiri zitawasaidia katika dhama hizi mpya ambapo kila mtu anamhitaji mwenzie duniani kote, hawa wameendelea kukaa gizani na itawagharimu.
Hii jf ina watu wasipowasema wachaga vibaya maisha yao hayaendi, Wachaga ni Israeli Wa Bongo. Hawajali maisha yao yanaenda tu. Bravo Chaga Tanzania Celebrities.
 
Kwa nn msemwe nyinyi tu jirekebisheni punguzeni ujanja ujanja na kujuana tunao maofsini ni kero tupu
 
acha kujitoa ufahamu
Huyu Ambwilikiti naona kuna mchaga "alimvunjia mayai" hakumlipa. Ana hasira sana nao. Hata kama wanatembelea mikono, wewe shepu yako ikoje, umeumbika vizuri hivyo unakosa ajira! Naenda kaoge njia panda!
 
Huyu Ambwilikiti naona kuna mchaga "alimvunjia mayai" hakumlipa. Ana hasira sana nao. Hata kama wanatembelea mikono, wewe shepu yako ikoje, umeumbika vizuri hivyo unakosa ajira! Naenda kaoge njia panda!

mangi naona umechokozwa
 
Hii jf ina watu wasipowasema wachaga vibaya maisha yao hayaendi, Wachaga ni Israeli Wa Bongo. Hawajali maisha yao yanaenda tu. Bravo Chaga Tanzania Celebrities.

teh teh teh mnaua ndugu zenu mje mijini
 
teh teh teh mnaua ndugu zenu mje mijini
We mpuuuzi kweli kwanza ulishafika nyumbani kwa wachagga?
Hakuna chochote cha ajabu mjini zaidi ya pesa nyingi nyumbani kwetu ni Ulaya kule tuna majumba ya maana, magari, umeme, maji ya bomba mpaka uvunguni, lami na hospital za maana Sasa nakushangaa unavyosema tunakimbilia mjini wakati kwetu penyewe pameendelea kuliko tunapoenda.

Wivu tu umewajaa hamna lolote wachagga tutaendelea kustawi kwa uwezo wa Mungu na hakuna wa kutushusha kamwe.
 
Back
Top Bottom