KABAKA28
JF-Expert Member
- Jun 18, 2014
- 211
- 229
Wana Jf, Nimepigiwa simu na rafiki yangu kanieleza kuwa kuna nafasi serikalini ambayo ipo wazi kati ya nafasi hizi walizozitangaza hivi karibuni na kwamba nahtaji tutoa 1.5million, ili niweze kupata hiyo nafasi.
Kusema ukweli mm nipo tayar kutoa hyo fedha kulingana na ukosefu wa ajira, ila sijapata uhakika kuwa nikitoa hyo pesa kazi nitapata, japo jamaa kaniambia ni uhakika 100%.
tafadhar ambaye alishawahi kufanya hivyo au mwenye taarifa na uzoefu juu ya hilo naomba anisaidie.
ikiweekana ani PM namba yake tuweze kuwasiliana.
Naogopa kuingizwa mjini
Kusema ukweli mm nipo tayar kutoa hyo fedha kulingana na ukosefu wa ajira, ila sijapata uhakika kuwa nikitoa hyo pesa kazi nitapata, japo jamaa kaniambia ni uhakika 100%.
tafadhar ambaye alishawahi kufanya hivyo au mwenye taarifa na uzoefu juu ya hilo naomba anisaidie.
ikiweekana ani PM namba yake tuweze kuwasiliana.
Naogopa kuingizwa mjini