RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 51,761
- 107,973
Mkuu hebu msome laki si pesa. labda ana point fulani.Mkuu kuna watu hawajui chochote kuhusu details za fixed deposits. Wanakuja humu kuandika uongo ili kuendelea kutetea uongo wa Magufuli.
Mkuu hebu msome laki si pesa. labda ana point fulani.Mkuu kuna watu hawajui chochote kuhusu details za fixed deposits. Wanakuja humu kuandika uongo ili kuendelea kutetea uongo wa Magufuli.
Jambo moja sana shaka nalo hata kama sisi ni mafisadi namna gani-- na jambo lenyewe ni accounting procedures!
TRA ina vitabu vyake ambavyo no matter what; pesa inapotoka LAZIMA ionekane kwenye vitabu with detailed information kwamba inatoka!
Na kama imetoka for FD, si tu kwamba kule bank unapewa receipt bali pia printout among other things for auditing purposes for both mteja/TRA and the bank! Huyu mteja/TRA nae atachukua docs zote hizi for office filing and future auditing/authentication. FD iki-mature na TRA kuchukua pesa yao; again si tu kwamba watatoka na WDL slip bali pia Printout, again, among other things, also for auditing purposes for both bank and mteja!
Hebu nisaidie wewe... hivi pesa kama hiyo unaiba iba vp?! Remember, pesa ilipotoka kwa mara ya kwanza with supported docs kwamba imewekwa FD; tayari itafahamika interest rate ni % ngapi na TRA wanapoenda kuchukua pesa; lazima vitabu vyao vioneshe figure ya Interest Income from Fixed Deposit! Unaiba iba vp hiyo pesa?! Na mbaya zaidi; sio single hand decision.... hebu tujuze! Anyway, sio kwamba haiibiki kabisa but only if for amateur forgery ambayo inaweza kuwa detected hata na First Year student wa accounting!
Rudia tena nilichoandika nimeeleza vizuri sana. Pili kumbuka hizi pesa zinakuwa kwenye account za TRA kwenye bank husika then waweka pesa kiasi flani fixed.Akikujibu naomba unitag.
Hahaha....Kinachofanyika ni kupunguza rate ya interest ya fixed deposit....mfano fixed deposit ya kawaida ni 15% lakini inafanywa 4%...na hili linafanyika kabla ya kudeposit pesa na document zote zinaonyesha fixed deposit ya account husika ni 4% baada ya hawa mabosi wa mashirika kukubaliana na mabosi wa mabenki...ili different 11% iliyobaki wanaipiga....na hii pesa inatolewa kupitia bank operational costs au mikopo hewa na inatolewa cash haipitii kwenye account.....hata waje ma auditors kutoka mbinguni hawawezi kuuona huu wizi sababu document zote zitakuwa zinaonyesha interest rate ni 4% wakati kiuhalisia ilitakiwa iwe 15%.....ndicho kinachofanyika hicho msitufanye hatuna akili hata mimi nimeshawahi kufanya kazi benki naujua mchezo wote
Watanzania wanachonifurahisha huwa mtu mmoja ana taaluma zaidi ya kumi na huwaga tunajua kila kitu! "uonekane hujui uwe falaaa"!Hahaha....Kinachofanyika ni kupunguza rate ya interest ya fixed deposit....mfano fixed deposit ya kawaida ni 15% lakini inafanywa 4%...na hili linafanyika kabla ya kudeposit pesa na document zote zinaonyesha fixed deposit ya account husika ni 4% baada ya hawa mabosi wa mashirika kukubaliana na mabosi wa mabenki...ili different 11% iliyobaki wanaipiga....na hii pesa inatolewa kupitia bank operational costs au mikopo hewa na inatolewa cash haipitii kwenye account.....hata waje ma auditors kutoka mbinguni hawawezi kuuona huu wizi sababu document zote zitakuwa zinaonyesha interest rate ni 4% wakati kiuhalisia ilitakiwa iwe 15%.....ndicho kinachofanyika hicho msitufanye hatuna akili hata mimi nimeshawahi kufanya kazi benki naujua mchezo wote
unamaanisha kilankitu lazima kiandikwe kwenye makaratasi,aliyekwambia 10%huwa zinaandikwa ni nani, official contract ni 8% lkn mkakubaliana kuwa nitakupa,6% per utajuaje we we???Sijaelewa mada yako. Hebu tuambie proceedures za kutoa fedha za serikali bank (withdrawing)
Hebu jiulize faida au interest itokanayo na kudeposit FDR inawekwa kwenye account gani au ya nani baada ya FDR kumature?
Pia jiulize bank inapata faida kubwa kivipi ndani ya miezi walau 3 inaweza kumlipa depositor na yenyewe kubakia na fedha?
Kazi ya centralbank ni zipi?
Ukijua mlolongo wote huo utaona Ndulu yupo sahihi
kwani mkombozi na escrow hela zilitokae ,wanaosimamia utoaji was hela ndio haohao wapiga dili sasa,dhana ya wanatoaje and procedure 2wewe itakusaidia nini, mbona hizo procurement procedure ,ndio kila siku zilalamikiwa kwa rushwa mkuuJambo moja sana shaka nalo hata kama sisi ni mafisadi namna gani-- na jambo lenyewe ni accounting procedures!
TRA ina vitabu vyake ambavyo no matter what; pesa inapotoka LAZIMA ionekane kwenye vitabu with detailed information kwamba inatoka!
Na kama imetoka for FD, si tu kwamba kule bank unapewa receipt bali pia printout among other things for auditing purposes for both mteja/TRA and the bank! Huyu mteja/TRA nae atachukua docs zote hizi for office filing and future auditing/authentication. FD iki-mature na TRA kuchukua pesa yao; again si tu kwamba watatoka na WDL slip bali pia Printout, again, among other things, also for auditing purposes for both bank and mteja!
Hebu nisaidie wewe... hivi pesa kama hiyo unaiba iba vp?! Remember, pesa ilipotoka kwa mara ya kwanza with supported docs kwamba imewekwa FD; tayari itafahamika interest rate ni % ngapi na TRA wanapoenda kuchukua pesa; lazima vitabu vyao vioneshe figure ya Interest Income from Fixed Deposit! Unaiba iba vp hiyo pesa?! Na mbaya zaidi; sio single hand decision.... hebu tujuze! Anyway, sio kwamba haiibiki kabisa but only if for amateur forgery ambayo inaweza kuwa detected hata na First Year student wa accounting!
wewe ndio hutaki kuelewa huo ni mfano angeweza kusema hata 6%and kinachoandikwa no 3% then hiyo nusu inatoka bila,bank procedure ,sasa wewe ,akili yako umebeba hiyo error ,kama kigezo ...Watanzania wanachonifurahisha huwa mtu mmoja ana taaluma zaidi ya kumi na huwaga tunajua kila kitu! "uonekane hujui uwe falaaa"!
kwa uelewa wako uliotukuka FD interest ni 15% kwa miezi mitatu? kunahaja gani ya kufanya biashara kama ni hivyoo! Ni afadhali kama hujui ukae Kimya!
unamaanisha kilankitu lazima kiandikwe kwenye makaratasi,aliyekwambia 10%huwa zinaandikwa ni nani, official contract ni 8% lkn mkakubaliana kuwa nitakupa,6% per utajuaje we we???
Maswali mengi ya nini.Sijaelewa mada yako. Hebu tuambie proceedures za kutoa fedha za serikali bank (withdrawing)
Hebu jiulize faida au interest itokanayo na kudeposit FDR inawekwa kwenye account gani au ya nani baada ya FDR kumature?
Pia jiulize bank inapata faida kubwa kivipi ndani ya miezi walau 3 inaweza kumlipa depositor na yenyewe kubakia na fedha?
Kazi ya centralbank ni zipi?
Ukijua mlolongo wote huo utaona Ndulu yupo sahihi
Kimfano hela zinazotolewa kwa ajili ya kaya maskini, ni hela za serekali, kwa sababu iliona kuna kaya haziwezi kujimudu"
Vilevile serekali ikiona wakulima hawawezi kuzalisha vzr inatakiwa itoe hela (ruzuku) ili wakulima waweze, mf: mahindi ni sh 500@kg serekali kupitia vyama vya ushirika inaweza kununua kwa 600, ili tu kuboost wakulima.
Vile vile secta binafsi\ biashara, inapokuwa taabani kama (sasa) serekali ni wajibu wake kusaidia kwa kuzipa bank mitaji bila interrest yeyote" ili kusisimua biashara na uwekezaji, baadae itakusanya kodi. Hiyo ndo faida yake"
Mi nawashangaa wanaoshabikia serkali kuondoa hela bank za biashara, tena hao hao wanalalamika maisha magum! Serekali haina biashara zaidi ya kuchukua huku na kuhamishia kule lengo kubwa ni kuweka mazingira mazuri ya watu kujiimarisha kiuchumi,
Kimfano hela zinazotolewa kwa ajili ya kaya maskini, ni hela za serekali, kwa sababu iliona kuna kaya haziwezi kujimudu"
Vilevile serekali ikiona wakulima hawawezi kuzalisha vzr inatakiwa itoe hela (ruzuku) ili wakulima waweze, mf: mahindi ni sh 500@kg serekali kupitia vyama vya ushirika inaweza kununua kwa 600, ili tu kuboost wakulima.
Vile vile secta binafsi\ biashara, inapokuwa taabani kama (sasa) serekali ni wajibu wake kusaidia kwa kuzipa bank mitaji bila interrest yeyote" ili kusisimua biashara na uwekezaji, baadae itakusanya kodi. Hiyo ndo faida yake"
Mi nawashangaa wanaoshabikia serkali kuondoa hela bank za biashara, tena hao hao wanalalamika maisha magum! Serekali haina biashara zaidi ya kuchukua huku na kuhamishia kule lengo kubwa ni kuweka mazingira mazuri ya watu kujiimarisha kiuchumi,
Mkuu Jiongeze,
Mabenki yanafanya sana lobbying ili makampuni,mashirika na idara za serikali ziweze kuweka pesa kwenye fixed deposit, kabla ya hapo makubaliano hufanyika kwa interest ngapi FDR Italipwa, Pesa zinazoingia kwenye FDR Akaunti ni kwa mujibu wa makubaliano, lakini percent ya rushwa anayopata mleta dili haiingii kwenye FRD, Benki wana jua namna gani wana account kwa percent ya mleta dili.