Rungwe tuna wabunge bubu!

Rungwe tuna wabunge bubu!

masopakyindi

Platinum Member
Joined
Jul 5, 2011
Posts
18,409
Reaction score
14,116
Wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya inadorora kimaendeleo.

Kwa zaidi ya miaka 35 wilaya hii haina mradi mkubwa wa maendeleo, HATA MMOJA. Wananchi wanaishi kwa kudra tu za Mwenyezi Mungu.

Kibaya zaidi nimetoka huko vijijini kwetu, watu wana hisia mbaya kuwa uongozi uliopo unawachukia. Sababu hazijulikani!

Mbaya zaidi wilaya ina wabunge ambao hawana weledi wala umahiri wa kuongelea matatizo ya wananchi katika hadhiri za kitaifa.

Mbunge wa Rungwe Mashariki(ambaye hata jina silikumbuki) na Mbunge wa Rungwe Magharibi, maarufu kama SH Amon, sijawahi kuwasikia wakipiga makelele yasiyo ya kawaida katika kuomba miradi toka serikalini, iwe viwanda, utalii au barabara.

Hawa wabunge ni mabubu kisiasa.
 
Binafsi huwa siamini kama kelele za mbunge zinaweza kushawishi miradi ya maendeleo katika jimbo lake.

Labda Waziri anaweza, naye akiwa na ushawishi wizara ya fedha - Idara ya mipango au apate favour ya Rais.
 
Binafsi huwa siamini kama kelele za mbunge zinaweza kushawishi miradi ya maendeleo katika jimbo lake.

Labda Waziri anaweza, naye akiwa na ushawishi wizara ya fedha - Idara ya mipango au apate favour ya Rais.
Unayoamini binafsi achilia mbali.
Kujenga hoja na kuitetea kwa ajili ya wananchi wako ndo inamfanya mtu aitwe mwanasiasa mahiri.

Mtu mbunge ukiwa kimya miaka mitano mizima una faida gani kwa wananchi?
 
Ninyi mashemeji zangu mna tatizo moja tu dogo: Wengi wenu hamkumbukagi kwenu. Amon kasharidhika na hana cha kupoteza, ila kubwa ni kwamba wazawa ndiyo wanatakiwa wawe waleta maendeleo makubwa kabla ya mbunge, lakini sasa Wanyaki wengi wapo Daslam na Arusha wanakula bata na kufunga maharusi ya mamilioni ya fedha kama wenzao Wahaya.
 
Semeni 'Su' nije kugombea huko.
Nimekaa kwa ufupi Mbeya, siasa zake ni ngumu sana na zinabadilika kama kinyonga. Juzi nimekaa na wazee fulani wanyakyusa wanasema kwamba Tulia hapa mjini hapiti kwasababu Wasafwa wamekataa kuwa na mnyakyusa mwingine huku mjini. Nikasema Hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii..................
 
Ninyi mashemeji zangu mna tatizo moja tu dogo: Wengi wenu hamkumbukagi kwenu. Amon kasharidhika na hana cha kupoteza, ila kubwa ni kwamba wazawa ndiyo wanatakiwa wawe waleta maendeleo makubwa kabla ya mbunge, lakini sasa Wanyaki wengi wapo Daslam na Arusha wanakula bata na kufunga maharusi ya mamilioni ya fedha kama wenzao Wahaya.
 
Wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya inadorora kimaendeleo.

Kwa zaidi ya miaka 35 wilaya hii haina mradi mkubwa wa maendeleo, HATA MMOJA. Wananchi wanaishi kwa kudra tu za Mwenyezi Mungu.

Kibaya zaidi nimetoka huko vijijini kwetu, watu wana hisia mbaya kuwa uongozi uliopo unawachukia. Sababu hazijulikani!

Mbaya zaidi wilaya ina wabunge ambao hawana weledi wala umahiri wa kuongelea matatizo ya wananchi katika hadhiri za kitaifa.

Mbunge wa Rungwe Mashariki(ambaye hata jina silikumbuki) na Mbunge wa Rungwe Magharibi, maarufu kama SH Amon, sijawahi kuwasikia wakipiga makelele yasiyo ya kawaida katika kuomba miradi toka serikalini, iwe viwanda, utalii au barabara.

Hawa wabunge ni mabubu kisiasa.
Ni kweli ndugu, wale wabunge kwa kweli ni majanga. Licha ya kutozungumzia chochote kuhusu maeneo wanayoyawakilisha bungeni, hawafanyi lolote kuhamasisha maendeleo kwenye maeneo yao, hili ni jambo la kusikitisha. Maeneo yale ni kama yamesimama kimaendeleo wakati maeneo mengine yanapiga hatua. Wabunge wengi wanazungumzia umeme vijijini, ujenzi wa barabara, upatikanaji wa maji n.k, hasa kipindi hiki cha bajeti, wao ni kama hawapo.
 
Ni kweli ndugu, wale wabunge kwa kweli ni majanga. Licha ya kutozungumzia chochote kuhusu maeneo wanayoyawakilisha bungeni, hawafanyi lolote kuhamasisha maendeleo kwenye maeneo yao, hili ni jambo la kusikitisha. Maeneo yale ni kama yamesimama kimaendeleo wakati maeneo mengine yanapiga hatua. Wabunge wengi wanazungumzia umeme vijijini, ujenzi wa barabara, upatikanaji wa maji n.k, hasa kipindi hiki cha bajeti, wao ni kama hawapo.
Wasipoamka toka usingizi wa pono, tutapiga kampeni kuwatokomezea mbali.
 
Wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya inadorora kimaendeleo.

Kwa zaidi ya miaka 35 wilaya hii haina mradi mkubwa wa maendeleo, HATA MMOJA. Wananchi wanaishi kwa kudra tu za Mwenyezi Mungu.

Kibaya zaidi nimetoka huko vijijini kwetu, watu wana hisia mbaya kuwa uongozi uliopo unawachukia. Sababu hazijulikani!

Mbaya zaidi wilaya ina wabunge ambao hawana weledi wala umahiri wa kuongelea matatizo ya wananchi katika hadhiri za kitaifa.

Mbunge wa Rungwe Mashariki(ambaye hata jina silikumbuki) na Mbunge wa Rungwe Magharibi, maarufu kama SH Amon, sijawahi kuwasikia wakipiga makelele yasiyo ya kawaida katika kuomba miradi toka serikalini, iwe viwanda, utalii au barabara.

Hawa wabunge ni mabubu kisiasa.
wabunge wa CCM ni shida!
 
Wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya inadorora kimaendeleo.

Kwa zaidi ya miaka 35 wilaya hii haina mradi mkubwa wa maendeleo, HATA MMOJA. Wananchi wanaishi kwa kudra tu za Mwenyezi Mungu.

Kibaya zaidi nimetoka huko vijijini kwetu, watu wana hisia mbaya kuwa uongozi uliopo unawachukia. Sababu hazijulikani!

Mbaya zaidi wilaya ina wabunge ambao hawana weledi wala umahiri wa kuongelea matatizo ya wananchi katika hadhiri za kitaifa.

Mbunge wa Rungwe Mashariki(ambaye hata jina silikumbuki) na Mbunge wa Rungwe Magharibi, maarufu kama SH Amon, sijawahi kuwasikia wakipiga makelele yasiyo ya kawaida katika kuomba miradi toka serikalini, iwe viwanda, utalii au barabara.

Hawa wabunge ni mabubu kisiasa.
Tatizo lililopo ni kuchagua wabunge ambao wapo pale kwa maslahi yao.
 
Labda huko kwenu lakini kwetu busokelo mambo safi tunakunywa tunalala tunaamka tunachuma chai, tunauza maziwa kwa asas tunapata pesa wewe ulitaka tununue ndege?
 
Back
Top Bottom