Arushaone
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 15,235
- 13,539
Leo ni leo kusuka ama kunyoa Court of Appeal, DAR kuhusu RULING ya pingamizi zilizotolewa na upande wa mjibu rufaa!
Updates..
Ruling tayari, mapingamizi 2 yametupwa, moja limekubaliwa, lakini kwamba in 14 days kasoro irekebishwe na kesi ya msingi iendelee
Updates..
Ruling tayari, mapingamizi 2 yametupwa, moja limekubaliwa, lakini kwamba in 14 days kasoro irekebishwe na kesi ya msingi iendelee
Godbless Lema akiwasili katika viwanja vya Mahakama ya Kuu jijini Dar leo.
Wapenzi wa Chadema wakimlaki Mhe. Lema mara baada ya kuwasili katika viwanja vya mahakama leo.
Jopo la Majaji likiwa tayari kuanza kazi.
Kutoka kushoto, Henry Kileo, Nuru Ndosi na Mhe. Godbless Lema wakiwa mahakamani leo.
Henry Kileo akiwa ndani ya ukumbi wa Mahakama Kuu, Dar es Salaam.