1. Kama kuna watu wanaishi, basi pia kuna Maisha hapo. (USIOGPE KWENDA POPOTE DUNIANI AMBAKO WATU WANAISHI) UTAYAISHI MAZINGIRA NA UTAWEZA KUISHI HAPO PIA.
Tangu nimegundua ukiwa mwema sana utaonewa hata na wadhaifu, nacheza na beat, nitakujibu mara mbili ya utakavyokuja. Ukija kwa wema utaukuta, ukija kwa ubaya sikuachi.