Montserrat
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 10,267
- 13,839
Chanjo ya Covid-19 iliyokuwa ianze leo, imeahirishwa mpaka atakapochanjwa kwanza Mkuu wa Mkoa Rukwa na kuzindua zoezi hilo hapo kesho. Huu ni upumbavu mwingine katika awamu hii.
Gonjwa linaua watu dawa ipo lakini haiwezi kutolewa kabla ya mtu fulani hajachanjwa!! madness. Kuna ndugu yangu yupo Sumbawanga ameenda government hospital nakuambiwa hivyo.
We still have a long way to go. God bless this Country. Save our leaders from having idiotic minds.
Gonjwa linaua watu dawa ipo lakini haiwezi kutolewa kabla ya mtu fulani hajachanjwa!! madness. Kuna ndugu yangu yupo Sumbawanga ameenda government hospital nakuambiwa hivyo.
We still have a long way to go. God bless this Country. Save our leaders from having idiotic minds.