Rukwa: Amuua mjamzito na watoto wawili kwa deni la Tsh. 100,000

Hi kitu isipo dhibitiwa itaendelea kuwa hbr za kawaida na hapo tutakuwakama rwnda na burundi watu wanachinjwa vibaya sna sijui watu wametoa wapi hi roho ya nmna hi
 
Wenye roho mbaya na chuki wanamtwisha lawama mkuu wa inchi, yaani haiingii hata akilini,
Chuki zitawamaliza
 
Ni msongo wa mawazo (stress). Kukosekana kwa msaada wa kisaikolojia kwa maeneo mengi, hivyo watu kukosa mwelekeo wanapoingia ktk changamoto
 
Najuuuuta kuisoma hii habari, imeniuma na imeniliza, nammuwazia huyo Mume jamani,

Eeeh Mola wangu tunaenda wapi sisi waja wako, tumekua makatili kuliko ukatili wenyewe
 
JESHI la Polisi mkoani Rukwa limemkamata Philipo Vincent (22) kwa tuhuma za kumuua kwa kumkata mapanga mjamzito na watoto wake wawil
Huyu atakuwa wa Moshu akahamia huko kiutafutaji Mana jamaa huwa hawachezi na pesa Yao.
Yaani mchaga akikudai afu akachoka siku akija anataka tu roho yako hata Kama unamlipa Mara Mia ya anachokudai anakikataa yeye anataka roho yako tu na si mengine.
Big up sana sio wa kuwachezea ujue.
Hata hapa new York Kuna hotel moja kubwa inaitwaa kimario anayeijua aseme.
Sie acha tuchunge ng'ombe na kucheza ngoma. Marehemu pumzikeni kwa amani peponi.amina
 
Nimecheka utafikiri mazuri,ila aisee bila kuanzisha vitengo vya councelling na elimu ya saikolojia ,watu wengi watakufa na wengi kuishia jela..

Hapa ni mwanzo tuu tukiwa kama Nigeria ndio mambo yatazidi,watu wanaongezeka kwa Kasi na ugumu wa maisha unashika Kasi..

Rest in peace mjamzito .
 
Ndio umuue MKUU
Kila kinacho tokea kinatakiwa kiwe funzo kwetu tunaobaki ili kuepusha madhara, haiwezekani wewe unikopeshe kwa wema kabisa tena pengine baada ya Mimi kulia sana alafu siku unakuja kunidai nakukibu eti "sikukutuma unikopeshe" hilo ni jibu baya sana na kila mtu ana kiwango chake Cha mwisho Cha uvumilivu ukikutana na mvumilivu anaweza kutumia busara ila ukikutana na mtu asie mvumilivu unaweza hata kuuwawa kama ilivyo mtokea huyo dada.

Sawa alicho kifanya jamaa siyo kitu kizuri lakin pia wakopaji wajifunze kauli nzuri maana hujui mtu alitafuta alicho kukopesha kwa tabu kiasi gani na hujui muda aliokuja kuchukua chake ana shida kiasi gani alafu unaanza kumjibu kiduwanzi
 

Fact MKUU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…