kissa anyigulile
JF-Expert Member
- Apr 21, 2017
- 1,550
- 1,733
K-Vant ilikuwa imeondoka.Alipomaliza akataka kujinyonga kama yuda baada ya roho ya kuua kumwacha, akarealize alichofanya akataka kujiua
wamevurugwaHata Kenya! Tena naona Kule ndiyo kumezidi.
Kumbe we ni bwabwa sory sikujuaNdio mbowe ni bwana wangu nampa tigo mpaka sasa ninaliwa
Njoo uifinyie kwa ndani naona zmekujaa kufatilia ya wanaume wakati tayari ushaukana uanaume umechagua kuukaliaKumbe we ni bwabwa sory sikujua
Nani huyo ni hamza au?Dah yule jamaa ametuachia legacy roho ya visasi na ukatili,tunamuenzi kwa vitendo
Wenye Roho mbaya na chuki hutwisha lawama mtu yeyote isipokuwa wao..Wenye roho mbaya na chuki wanamtwisha lawama mkuu wa inchi, yaani haiingii hata akilini,
Chuki zitawamaliza
Huyu atakuwa wa Moshu akahamia huko kiutafutaji Mana jamaa huwa hawachezi na pesa Yao.JESHI la Polisi mkoani Rukwa limemkamata Philipo Vincent (22) kwa tuhuma za kumuua kwa kumkata mapanga mjamzito na watoto wake wawil
Nimecheka utafikiri mazuri,ila aisee bila kuanzisha vitengo vya councelling na elimu ya saikolojia ,watu wengi watakufa na wengi kuishia jela..JESHI la Polisi mkoani Rukwa limemkamata Philipo Vincent (22) kwa tuhuma za kumuua kwa kumkata mapanga mjamzito na watoto wake wawili.
Jeshi hilo limesema wakati wa kumhoji, mtuhumiwa huyo alidai kuwa alikuwa anamdai mjamzito huyo gunia mbili za mahindi.
Kaimu Kamanda wa Polisi mkoani Rukwa, Theopista Mallya, alisema kuwa polisi walifanikiwa kumkamata mtuhumiwa huyo kwa kuwa alijaribu kujinyonga ndipo walimkamata, na walipomuhoji alisema kuwa anataka kujiua kwa kuwa hana amani baada ya kufanya mauaji hayo.
Mallya alisema walipomuhoji zaidi, alikiri kufanya mauaji hayo kwa kuwa alikuwa amemkopesha gunia mbili za mahindi na alipomdai alionekana kufanya ukaidi wa kumlipa.
Alisema kuwa mtuhumiwa huyo alipokuwa akienda kwa mwanamke huyo kudai fedha Sh. 100,000 alimjibu kuwa asimdai kwa nguvu kwa kuwa hakumlazimisha amkopeshe, kauli iliyomuudhi mtuhumiwa na kuamua kufanya mauaji hayo.
"Mtuhumiwa huyo alinunua panga jipya na kulinoa vizuri, na siku ya Januari 14 usiku alikwenda nyumbani kwa marehemu na kisha kufanya mauaji hayo na kutokomea," alisema Mallya.
Alisema polisi walipomuhoji sababu za kuwaua na watoto, alijibu kuwa aliamua kuwachinja kwa kuwa watoto hao walimuona wakati anamuua mama yao na pia wanamfahamu kwa kuwa mekuwa akienda katika nyumba hiyo mara kwa mara kudai fedha, hivyo wangemtaja.
Mapema wiki hii, jeshi hilo lilisema tukio hilo linadhaniwa kutokea usiku wakati mama huyo na watoto wake wakiwa ndani ya nyumba yao, kisha watu waliotekeleza mauaji hayo kuingia ndani.
NIPASHE
Mallya alisema mume wa mwanamke huyo ambaye yuko Dar es Salaam alianza kumtafuta mkewe kwa kumpigia simu, lakini ilikuwa inaita bila kupokelewa.
Alisema alipopiga kwa muda mrefu simu hiyo ilizima, hali inayoonyesha kuwa ilizima kwa kuishiwa chaji na kila alipojitahidi kupiga haikupatikana.
Baada ya hapo alimpigia rafiki yake, Paul Leonard, na kumwagiza aende akaione familia yake na alifika nyumbani hapo saa 2:30 usiku na alishangaa kukuta mlango umefungwa nje kwa kufuli, hivyo aliamua kuwaita viongozi wa kijiji na walipofika na kubomoa mlango na kuingia ndani walikuta mwanamke huyo aliyekuwa na ujauzito wa miezi minane akiwa amechinjwa pamoja na watoto wake Milliam (8) na William (4).
Sawa, lakini hakustahili kufanya haya hata kidogoMtu unamdai alafu anakujibu kwani nilikutuma unikopeshe? Wakati wa kuja kukopa alikuja ana shida na analia
Marehemu alikua na dharauSawa, lakini hakustahili kufanya haya hata kidogo
Mtu unamdai alafu anakujibu kwani nilikutuma unikopeshe? Wakati wa kuja kukopa alikuja ana shida na analia
Kila kinacho tokea kinatakiwa kiwe funzo kwetu tunaobaki ili kuepusha madhara, haiwezekani wewe unikopeshe kwa wema kabisa tena pengine baada ya Mimi kulia sana alafu siku unakuja kunidai nakukibu eti "sikukutuma unikopeshe" hilo ni jibu baya sana na kila mtu ana kiwango chake Cha mwisho Cha uvumilivu ukikutana na mvumilivu anaweza kutumia busara ila ukikutana na mtu asie mvumilivu unaweza hata kuuwawa kama ilivyo mtokea huyo dada.Ndio umuue MKUU
Kila kinacho tokea kinatakiwa kiwe funzo kwetu tunaobaki ili kuepusha madhara, haiwezekani wewe unikopeshe kwa wema kabisa tena pengine baada ya Mimi kulia sana alafu siku unakuja kunidai nakukibu eti "sikukutuma unikopeshe" hilo ni jibu baya sana na kila mtu ana kiwango chake Cha mwisho Cha uvumilivu ukikutana na mvumilivu anaweza kutumia busara ila ukikutana na mtu asie mvumilivu unaweza hata kuuwawa kama ilivyo mtokea huyo dada.
Sawa alicho kifanya jamaa siyo kitu kizuri lakin pia wakopaji wajifunze kauli nzuri maana hujui mtu alitafuta alicho kukopesha kwa tabu kiasi gani na hujui muda aliokuja kuchukua chake ana shida kiasi gani alafu unaanza kumjibu kiduwanzi