Ruksa Ndoa ya Nitonye na Arabela

Kwema kweliii ?karudi
kwa wa ukweee gfsonwin we ni mshika dau tu
ahaaaaaaaaaaa (kicheko cha bichau) achia ngazi bibi mchuma umeondoka
huo kupendwa raha mie sina nchencheto
Bishanga
mwaaaaaaaaaa

heee heee pole zako. huyo Bishanga mbona na
yeye ni mali ya umma! usijisifie mbele za watu watakucheka shaulilo. kwanza my dada gfsonwin aliniachia Kaizer kiroho safi.
 
Last edited by a moderator:
Mabwaku
DEMBA
ina maana
Kaizer
amekuwa hashikiki kiasi hiki.......kisa ile 20-35 ya Zahra

ujumbe umefika na utafanyiwa kazi damu changa wapo wengi sana

eti anadai tangu zahra atangaze kwamba above 36 wanapiga mzigo vizuri kwa bedi, amekuwa akitafutwa kama lulu na wadada wa mujini.
 
haya yetu macho
kwani wajakazi wakiwa wengi ufa uongezeka............
 

Ha ha ha haaaa..nyie wapare bhana taabu sana.
kiwatengu umeshamharibu wife tayari lool.

Nyie nikaribisheni tu nitajinunulia mwenyewe
 
Last edited by a moderator:
wiii wangu we acha tu. kakako haonekani

Anatafuta hela, usihofu kabisa.

Asipohangaika modem itajazwa na nini? bata mtakulaje? watoto si watasoma st kayumba?

You are in good hands usije ruka ruka
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…