Ruksa kuoa wanawake hata kumi

Ruksa kuoa wanawake hata kumi

Kibo10

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
11,278
Reaction score
8,868
Rais Kenyatta asaini Muswada wa Sheria ya Ndoa ya mwaka 2014 punde huko Nairobi, sasa wanaume wako huru kuoa idadi ya wanawake kadri wawezavyo. Hii nimeipenda inatufaa sana hapa kwetu Tanzania.

Rais JK na bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, sikieni kilio hiki kwa niaba ya wana MMU pelekeni mswada bungeni tujizolee tu kama kenya hata kumi unaowa ni pumzi yako tu.
 
mmoja tu anawashinda kutwa kula mikuyati
viagra karibu zote mmemaliza

hao kumi si kila wikiend mtakuwa mnalazwa na dripu za glucose???

Wewe huna adabu unatuzarau Rich Pol na uran njooni huku kuna mtu analeta zereu kwa vidume
 
Last edited by a moderator:
Wewe huna adabu unatuzarau Rich Pol na uran njooni huku kuna mtu analeta zereu kwa vidume

hahhhhahh sio wewe kwani wewe untumiaga hiyo mambo

kausha basi unaniitia jeshi usiku huu tena lenye B52????unanitakia usingizi kweli?
 
Last edited by a moderator:
hahhhhahh sio wewe kwani wewe untumiaga hiyo mambo

kausha basi unaniitia jeshi usiku huu tena lenye B52????unanitakia usingizi kweli?
masai dada chokoza nyuki ule asali
Tulia usiogope
 
Last edited by a moderator:
Wapitishe tu na huku ili kuongeza ajira za waganga.
 
Hapa sheria hakuna ila wanaume wengi wana michepuko ya lami na ya vumbi..
.hakuna haja ya sheria ni kupoteza karatasi na wino
 
Rais Kenyatta asaini Muswada wa Sheria ya Ndoa ya 2014 punde huko Nairobi, sasa wanaume wako huru kuoa idadi ya wanawake kadiri wawezavyo
Hii nimeipenda inatufaa sana hapa kwetu tanzania rais JK na bunge la jamhuri ya muungano wa tanzania
Sikieni kilio hiki kwa niaba ya wanaMMU pelekeni mswaada bungeni tujizolee tu kama kenya hata kumi unaowa ni pumzi yako tu!

Safi sana,mswada wa awali ulikua umekaa kibwege sana,eti ukitaka kuongeza mke lazma mke wako wa kwanza akuruhusu,ukimuahidi binti utamuoa kisha ukaghaili binti anaruhusiwa kukupeleka mahakamani akidai fidia,umempotezea mda. Safi sana kenyata.
 
Safi sana,mswada wa awali ulikua umekaa kibwege sana,eti ukitaka kuongeza mke lazma mke wako wa kwanza akuruhusu,ukimuahidi binti utamuoa kisha ukaghaili binti anaruhusiwa kukupeleka mahakamani akidai fidia,umempotezea mda. Safi sana kenyata.
masai dada njoo soma hii kitu ya Kichwa Ndio Mtu uweke hoja mezani ya kupinga
 
Last edited by a moderator:
Rais Kenyatta asaini Muswada wa Sheria ya Ndoa ya 2014 punde huko Nairobi, sasa wanaume wako huru kuoa idadi ya wanawake kadiri wawezavyo
Hii nimeipenda inatufaa sana hapa kwetu tanzania rais JK na bunge la jamhuri ya muungano wa tanzania
Sikieni kilio hiki kwa niaba ya wanaMMU pelekeni mswaada bungeni tujizolee tu kama kenya hata kumi unaowa ni pumzi yako tu!

TZ wakipitisha nadhani utamuongeza Bujibuji
 
Sio dini zote wakristo,za bomani na wahindu ni mmoja wengine wa mila na waislamu ndio sheria imeruhusu. Acheni kupotosha.
 
Back
Top Bottom