Ruhusa ya talaka kanisa Katoliki, ndoa si salama tena

tzed...huyu utorong'ong'o ana mihemko ya dini hataki kuumiza kichwa yaani alicholishwa ndio alichomeza.....akubali tu kuwa hizi ni dini za watu walikaa wakaamua kuzileta na ndio maana wanabadilisha sheria zao kila siku. Juzi walikaa kabinet kuhusu ushoga, leo wamekaa kuhusu talaka....i dont kesho wakikaa wataongelea nini.................maana safari moja huanzisha nyingine
nakumbuka yule last papa alivyokuwa spain, alisema ruhusa kwa machangudoa kutumia kondom kuzuia ukimwi. Ukiona mambo ya imani yanakaliwa kikao ujue ni shida.
Nilicholishwa kipi..?? Na mihemko ya dini mm siijui..labda unijuze wewe..

Hivi unajua unachokiandika wewe..?? Ndio huenda uliona wamekaa kujadili..Je! Mwisho ws majadiliano hitimisho lilikuwa kitu gani..?? Waliruhusu..??? Waeza thibitisha..???
 

Tized;
Naomba nikuunge mkono hapa.
NB: Sio lengo langu kulisemea Kanisa, Bali waumini waweze kujua wanaabudu katika misingi ipi? Watafute kujua wanachosimamia na Maandiko yanasemaje na sio viongozi/ dini inasemaje.




NB: Sio lengo langu kulisemea Kanisa, Bali waumini waweze kujua wanaabudu katika misingi ipi? Watafute kujua wanachosimamia na Maandiko yanasemaje na sio viongozi/ dini inasemaje.

Hata ukizisoma nyingi ya thread zinazojibu thread hii, utaona kuwa wengi wanafurahiya kuwa huenda viongozi wao wakayaleta yale wanayo yatamani. Kumbe hatufuati viongozi au dini inasema nini bali tunafuat msingi ulisema nini. Yesu Kristo alisema nini kuhusu talaka??
Mungu alisema nini kuhusu talaka?? Ukisimamia kuwa Neno la Mungu ni maneno tu yaliyo andikwa kwa ajili yetu, basi, utayapinga. Lakini ukisimamia msingi kuwa Neno hilo lilitoka kinywani mwa Mungu Mwenyezi, huwezi kulipaka mafuta.
Nitasimama kuwa HAKUNA TALAKA KATIKA NDOA YA KIKRISTO MILELE NA MILELE. AMEN.
Kinachoenda kijadiliwa ni mazingira ambayo sakramenti ya ndoa inaweza kuwa nullified... Mf..Ndoa ya kulazimishwa hasa huku Africa mzee anaoa mtoto mdogo kwa nguvu...Hiyo ikibainika ndoa hiyo si halali..

Mfano mwingine...Mwanaume anajua ni ha.nithi..lakini akaamua kumficha mchumba wake mpaka wakafikia hatua ya kufungishwa ndoa..Hiyo ikibainika ndo hiyo inakuwa nullified..

Hayo ndio mambo yatakayo jadiliwa..siyo mnajitoa ufahamu hapa...Kanisa Katoliki ndio linadumisha taasisi ya ndoa traditionally toka adam na Hawa mpaka sasa...Hiyo ni Sakrament haiwezi kubadilishwa kamwe
 
Kanisa katoliki lipo kwenye mchakato na wanasheria wao nguli kuangalia upya namna ya kulegeza masharti ya ndoa zao.Hii itaweza kuruhusu wanandoa kuachana na kuoa/kuolewa tena na mtu utaemtaka!

Tunapoelekea nadhani tutatengeneza idadi kubwa ya wataraka (divorced) katika jamii yetu si wote wanaofurahia maisha ya ndoa mpaka kifo.

Nini maoni yako mwana MMU katika hili?

Kwani kuna faida gani kuwa na ndoa za maigizo? Ndoa ikifa imeshakufa maigizo ndo chanzo cha uzinzi
 
Kama huna furaha kwenye ndoa ni kuondoka, usijipe presha na cheti cha ndoa ni karatasi. Tafuta amani na furaha kwanza.
 
Kupitia maandiko upya na kujirekebisha sehemu mlizoelewa tofauti ni Jambo la msingi. Biblia inaruhusu talaka kwa kosa moja tu. "Uzinzi". Lakini kama mkiamua kusameheana haina shida. Nje ya sababu hiyo hakuna uhalali wa talaka kimaandiko( Biblia)
 
Kwa hiyo kile kipengele cha "Alichokiunganisha Mungu mwanadamu hasikitenganishe" kitarekebishwa au?
 
Umeelewa hiyo post yake au ndo uzuzu wenyewe huo...??

Nikuulize...Wewe labda ni ha.ni.thi- halafu umemficha mchumba wako hali yako mpaka mkafikia hatua ya kufunga ndoa...Je! Mkeo akindua je! Kuna uhalali wa ndoa..???

Hayo ndiyo mambo yatakayo jadiliwa

Hata kabla ya marekebisho hayo yanayotatajiwa, kama kuna mazingira kama hayo, sheria ya kanisa inayotumika sasa inatamka wazi kuwa HAKUNA NDOA HAPO na mke huyo ana ruhusa ya kuolewa kwingine maana hapakuwa na ndoa in the first place.
 
Kanisa katoliki lipo kwenye mchakato na wanasheria wao nguli kuangalia upya namna ya kulegeza masharti ya ndoa zao.Hii itaweza kuruhusu wanandoa kuachana na kuoa/kuolewa tena na mtu utaemtaka!

Tunapoelekea nadhani tutatengeneza idadi kubwa ya wataraka (divorced) katika jamii yetu si wote wanaofurahia maisha ya ndoa mpaka kifo.

Nini maoni yako mwana MMU katika hili?

Hii dini kila siku inafanyiwa marekebisho.
 
Kupitia maandiko upya na kujirekebisha sehemu mlizoelewa tofauti ni Jambo la msingi. Biblia inaruhusu talaka kwa kosa moja tu. "Uzinzi". Lakini kama mkiamua kusameheana haina shida. Nje ya sababu hiyo hakuna uhalali wa talaka kimaandiko( Biblia)

Umeelewa kinachokwenda kujadiliwa..??
 
Kinachoenda kijadiliwa ni mazingira ambayo sakramenti ya ndoa inaweza kuwa nullified... Mf..Ndoa ya kulazimishwa hasa huku Africa mzee anaoa mtoto mdogo kwa nguvu...Hiyo ikibainika ndoa hiyo si halali..

Mfano mwingine...Mwanaume anajua ni ha.nithi..lakini akaamua kumficha mchumba wake mpaka wakafikia hatua ya kufungishwa ndoa..Hiyo ikibainika ndo hiyo inakuwa nullified..

Hayo ndio mambo yatakayo jadiliwa..siyo mnajitoa ufahamu hapa...Kanisa Katoliki ndio linadumisha taasisi ya ndoa traditionally toka adam na Hawa mpaka sasa...Hiyo ni Sakrament haiwezi kubadilishwa kamwe

Mkuu;
Nimefurahi kuwa umesema kuwa ndoa haiwezi kufunguliwa (Talaka) hii haipo kwenye ndoa ya Kikristo. Pili nashindwa kuelewa ulichoeleza hapa. Hivi ndoa ni kusaini makaratasi na kwenda nyumba ya sherehe na kupewa vijizawadi?? Nadhani ndoa ni kule kuridhiana mtu mume na mtu mke, kukaa pamoja katika hali ya kujamiana kwa ridhaa yenu wawili bila tashwishi yeyote ile. Kama hakuna tendo lile la ndoa, hiyo sio ndoa. Hivyo hapa, wala hakuna kupotezeana muda. Lakini, kama binti alijua hilo, akaolewa kama mtunza nyumba mpaka kifo kiwatenganishe, huo ni mkataba nao pia unahesabiwa kama maagano nayo hutunzwa.
Nakuambia hivyo kwa sababu, wapo waliojua mapema kuwa hakutakuwa na mpango wowote wa kujamiana na wakakubali kuja kumsaidia mambo ya ndani, kufua na kupika na kuonesha kuwa jamaa ni mzima ila bahati haijaja (mtoto). Hayo ni makubaliano na huyo hawezi kuyavunja
 
nilicholishwa kipi..?? Na mihemko ya dini mm siijui..labda unijuze wewe..

Hivi unajua unachokiandika wewe..?? Ndio huenda uliona wamekaa kujadili..je! Mwisho ws majadiliano hitimisho lilikuwa kitu gani..?? Waliruhusu..??? Waeza thibitisha..???

maamuzi ya mungu hayakaliwi kikao na binadamu, n wala hamuwezi kuwa na wazo la kupiga hata kura kuhusu upuuzi wowote. But kwenye suala la ushoga kura hazikutosha!! It means kati ya makadinali waliopiga kura kuna wenye mlengo wa kishoga na sijasikia kanisa limefanya nn kuhusu hao. Coz kama wapo sasa then kesho wataongezeka n the next vote....u never knw who will win
 
maamuzi ya mungu hayakaliwi kikao na binadamu, n wala hamuwezi kuwa na wazo la kupiga hata kura kuhusu upuuzi wowote. But kwenye suala la ushoga kura hazikutosha!! It means kati ya makadinali waliopiga kura kuna wenye mlengo wa kishoga na sijasikia kanisa limefanya nn kuhusu hao. Coz kama wapo sasa then kesho wataongezeka n the next vote....u never knw who will win
Hivi kwann unaongea uongo namna hii..?? Ni lini kanisa lilishawahi kupigia kura ushoga...???

Hebu nithibitishie tarehe na mwaka na Pope yupi aliridhia mambo ya kura..??? Tangu lini Kanisa Katoliki likapiga kura..? Hii umetolea wapi..??

Halafu..Hayo maamuzi ya Mungu ni yepi..??
 
Kanisa katoliki lipo kwenye mchakato na wanasheria wao nguli kuangalia upya namna ya kulegeza masharti ya ndoa zao.Hii itaweza kuruhusu wanandoa kuachana na kuoa/kuolewa tena na mtu utaemtaka!

Tunapoelekea nadhani tutatengeneza idadi kubwa ya wataraka (divorced) katika jamii yetu si wote wanaofurahia maisha ya ndoa mpaka kifo.

Nini maoni yako mwana MMU katika hili?

Wamebadilisha bibila ama bado ni ile ile. Nwei, taarifa hiyo isome tena na tena, umekurupukia mambo mkuu, papa hakumaanisha hivyo. Halafu it should be canonised.
 
Back
Top Bottom