LINCOLINMTZA
JF-Expert Member
- Mar 15, 2011
- 1,639
- 516
Habari wanajamvi!
Naomba kuuliza kama kunautaratibu wa kupata ruhusu kutoka nchini/serikalini unapopata kazi nje ya nchi kama Afrika ya Kusini. Na kama upo,
-mchakato wake ukoje?
-na je, utahitaji tena ruhusa (work permit) ya nchi unayokwenda kufanyia kazi?
Mwenye taarifa ya mambo haya naombeni anisaidie.
Naomba kuuliza kama kunautaratibu wa kupata ruhusu kutoka nchini/serikalini unapopata kazi nje ya nchi kama Afrika ya Kusini. Na kama upo,
-mchakato wake ukoje?
-na je, utahitaji tena ruhusa (work permit) ya nchi unayokwenda kufanyia kazi?
Mwenye taarifa ya mambo haya naombeni anisaidie.