Idimi
JF-Expert Member
- Mar 18, 2007
- 14,976
- 10,466
Topic ambazo watu wametiririka zipo tele hapa JF. We nenda pale kwenye search, tafuta jina la Ruge Mutahaba. Utakuta mada nyingi sana zinazomhusu, hasa ile ya bifu lake na Sugu. Watu wamemwagika mnoooooo! Almost kila kitu kipo paleInaonekana unajua mengi kuhusu hz bifu ........... waonaje ukitiririka km gt wa jf!?
Sure.Mkuu majibu yake hayakutii kiu ya watu wengi maana kuna waraka alitoa JD kuwa akifa asiguswe na watu wa Clouds, na issue ya OSATA...kuhusu mmoja wa wafanyikazi wa Clouds kuwa na share na hii kampuni ya usambazaji na promo...angejibu haya ningekuwa upande wake..
Ruge si mweledi wa kiasi hicho, hawezi kujibu hoja kwa mpangilio kama inavyopaswa. Ungesoma mada ya ugomvi wake na Sugu ungejua huyu juha ni empty upstairs.
Bas huu ugomvi ukiendelea nadhan uhusiano wa Jide na G nao upo hatarini sana, mana mengi yatasemwa na sidhani kama Gadner atavumilia yote.
Unadhani hayo yanayosemwa hayajulikani kwa Gardner? Anayajua yote, ndio sababu aliacha kazi pale sehemu. Pale paone vilevile