Ruge wa Clouds yuko live kumjibu Jide

Ruge wa Clouds yuko live kumjibu Jide

jamaa naona anaunyaunya tu ana lolote kifupi ameanzisha bend ambayo imechukua wasanii toka machozi band ugomvi ndo uwo mkuu
sasa hapa jide ndo akakasikrika?yeye kama hawalipi vizuri wafanye nini?jide kumbe nae ana makosa
 
Bosi Ruge kasema yale ya kimasoko(Marketing principles). Machozi Band imeshapata mshindani skylite band! ajipange kimkakati kupambana. kama bei ilikuwa kubwa apunguze, kama customer care ilikuwa mbaya arekebishe.
Ametoa order with no discussion. No Bongo Fleva today! kaanza kupiga Gospel(Hakuna mungu kama wewe).Jide hii ni Product Life Cycle imefikia stage ya mwisho biashara inakufa kama hutajipanga na strategy mpya.
 
Kama kawaida yake alivyokuwa anaona mambo yamepamba moto hufanyaivo kumbuka kwa Mh.Sugu sialiwaomba kina Nchimbi wa mkutanishe na Sugu wakayamaliza..!!!ila kwa upande mwingine Ruge sio mtu mzuri anacheza na maisha ya watu
Ruge japo sina imani nae sana, lakini ameongea vizuri na ametoa nafasi akutanishwe na Jide wayamalize!
 
Kwa watu wageni katika kufuatilia masuala ya burudani na muziki hapa nchini wanaweza kumuona Ruge kwamba ni mtu mwema sana Lakini kwa wafuatiliaji makini tunafahamu kuwa ruge ni kupe namba moja hapa nchini kwa wasanii wa muziki nchini.

Kwakuwa anayo fursa ya kutumia redio yake kuongea chochote na asiulizwe maswali magumu, nampa changamoto ajitokeze habari maelezo ama aite waandishi wa habari afanye nao press conference aone kama hajaumbuka.
hahahahahahahahahaha..poti unanichekesha..kwani mengi wakati akitaka kuongea yake huwa anaenda habari maelezo?...unakumbuka hata spika sita alimjibu mh malima kuwa hiyo ni redio binafsi..mumuache..nanyi muacheni aomgelee kwenye kituo chake...hahahahahaha..wakongwe mna mambo.!!...jide akubali ushindani na changamoto...eti anajiita iron lady na asha baraka asemejeee?
 
dah hapo sasa ni swala la kibiashara zaidi kaka hapo jide inabidi asiache muziki kilichomkuta sasa naona ni kama bidhaa yake imeshuka soko sokoni ninachoshauri hapa ni yeye kujipanga zaidi kupambana na hii biashara yake kama alivopambana ruge kipindi machoz band imeanza ikiwemo kuwa offer mishahara mikubwa wanaband wake unless hapatokuwa na solution. mkono mtupu haulabwi man hata ningekuwa mimi naangalia pesa tu.
 
hahahahahahahahahaha..poti unanichekesha..kwani mengi wakati akitaka kuongea yake huwa anaenda habari maelezo?...unakumbuka hata spika sita alimjibu mh malima kuwa hiyo ni redio binafsi..mumuache..nanyi muacheni aomgelee kwenye kituo chake...hahahahahaha..wakongwe mna mambo.!!...jide akubali ushindani na changamoto...eti anajiita iron lady na asha baraka asemejeee?

Dah poti kweli umenikumbusha mambo ya mzee Mengi na mzee wa SMG Malima.
Tatizo hapa ni watu kutumia vyombo vyao vya habari kutengeneza propaganda. Kiukweli kabisa namuona Jide kuwa ni mwanamke anaayejaribu kujitambua na kusimama mwenyewe.

Hoja zote za msingi alizozitoa na kuzielekeza kwa Ruge na mshirika wake Kusaga sijasikia akizijibu isipokuwa alichofanya ni kuhamisha mashambulizi na kuayelekeza porini. Lakini kwa mtu yeyote aliye makini atakuwa amebaini waziwazi kuwa alichokisema Jide ni cha ukweli na Ruge na mwezake Kusaga lazima wabadilike, waachane na tabia yao ya kikupe ya kunenepa kwa kuwanyonya damu wasanii wa muziki.
 
ndio na kisa cha sebastiani ndege kuanzisha bendi ya sky light ni baada ya jide kumtukana seba pale nyumbani lounge...na ndio maana alisema jide we pambana tu na skylight cz ndio unajua ukweli

Inaonekana unajua mengi kuhusu hz bifu ........... waonaje ukitiririka km gt wa jf!?
 
Inaonekana unajua mengi kuhusu hz bifu ........... waonaje ukitiririka km gt wa jf!?
ttz lenu humu mtu akiongea kitu..kila mtu mjuaji..niliwahi kusema huko nyuma kuwa ugomvi wa jide na clouds ni "SKYLIGHT BAND"...mijitu ikaaanza kelele...ukitaka nifuate PM utanielewa...hahahahahahaha
 
Dah poti kweli umenikumbusha mambo ya mzee Mengi na mzee wa SMG Malima.
Tatizo hapa ni watu kutumia vyombo vyao vya habari kutengeneza propaganda. Kiukweli kabisa namuona Jide kuwa ni mwanamke anaayejaribu kujitambua na kusimama mwenyewe.

Hoja zote za msingi alizozitoa na kuzielekeza kwa Ruge na mshirika wake Kusaga sijasikia akizijibu isipokuwa alichofanya ni kuhamisha mashambulizi na kuayelekeza porini. Lakini kwa mtu yeyote aliye makini atakuwa amebaini waziwazi kuwa alichokisema Jide ni cha ukweli na Ruge na mwezake Kusaga lazima wabadilike, waachane na tabia yao ya kikupe ya kunenepa kwa kuwanyonya damu wasanii wa muziki.


Mkuu majibu yake hayakutii kiu ya watu wengi maana kuna waraka alitoa JD kuwa akifa asiguswe na watu wa Clouds, na issue ya OSATA...kuhusu mmoja wa wafanyikazi wa Clouds kuwa na share na hii kampuni ya usambazaji na promo...angejibu haya ningekuwa upande wake..
 
Kuna kipindi fulani alijitokeza jamaa na kuanza kuchambua uovu wa akina J kusaga hapa JF mpaka tuliogopa ile Thread.

Nimeitafuta ile thread sijaiona. ile ndio ina ukweli wa mambo. Nitafarijika sana akitoke member hapa akaunganisha ile link. Itawafumbua macho wengi. has hao wanaowatetea hao kina ruge.

Nimemsikiliza sana but jamaa anaongea kwa vijembe sana. Wakati anachambua kupokezana vijiti, issue ya kuwa alikua napata milioni kumi kumi kwa kila shao lakini hakujipanga.

Who told you kwamba hana savings kwa sasa?
 
Aliponiacha hoi, pale aliposema. Umeme sio tatzo, tutafute fursaaaaaaaaa
 
Anaweza kukubali mazungumzo tu endapo Ruge atakubali kurejesha wanamuziki wake alopora.

Itakuwa biashara kichaa hiyo.

Mfano umtoe Mangi bush, umdhamini biashara ya genge kitongojini, biashara ishamiri. Mangi ajitoe kuwa chini ya udhamini wako kwa sababu yeyote ile iwayo, let say kukomaa kibiashara na kuweza kusimama mwenyewe.

Kuna kosa gani kwa wewe kumdhamini Mangi mwingine mtaa wa pili? Yaani unataka mdhamini afukuze wateja toka kwa Mangi wa pili ili awe in good terms na Mangi wa kwanza?
 
Inawezekana basi uyo ndege kawekwa apo kama gelesha lakini mliki wa bendi ni uyo luge!!!
 
Ruge ndio aliyemtoa matongotongo huyo mnaemwita Jide; bila hivyo hata huyo mumewe asingemuona!!! Hiyo wanayocheza ni cinema tu kwani hawa walishalala chumba kimoja walipokwenda kwenye KOLA kule south siku za nyuma na ikaleta SOOOOO!!!
 
Ruge ndio aliyemtoa matongotongo huyo mnaemwita Jide; bila hivyo hata huyo mumewe asingemuona!!! Hiyo wanayocheza ni cinema tu kwani hawa walishalala chumba kimoja walipokwenda kwenye KOLA kule south siku za nyuma na ikaleta SOOOOO!!!

Bas huu ugomvi ukiendelea nadhan uhusiano wa Jide na G nao upo hatarini sana, mana mengi yatasemwa na sidhani kama Gadner atavumilia yote.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom