Ruge Mutahaba kumjibu Lady Jay Dee Jumatatu

Ruge Mutahaba kumjibu Lady Jay Dee Jumatatu

Ruge asipoteze muda kujibizana na huyo shugamami, Clouds ni Radio binafsi kama hawajapiga nyimbo zake tatizo nini, Hata basha wake Gadner alipokuwa pale kuna nyimbo nyingi za watu alikuwa hapigi, Hata Radio One huwa hawamtangazi Yusuph Manji pamoja na kuwa Mwenyekiti wa Yanga lakini jamaa hajalalamika kwa kuwa anajua hicho ni chombo binafsi kina haki ya kuchagua nyimbo na wasanii wapi wawapigie Promo bila ya kufanya Jinai, Jide kafika Omega
 
Ruge asipoteze muda kujibizana na huyo shugamami, Clouds ni Radio binafsi kama hawajapiga nyimbo zake tatizo nini, Hata basha wake Gadner alipokuwa pale kuna nyimbo nyingi za watu alikuwa hapigi, Hata Radio One huwa hawamtangazi Yusuph Manji pamoja na kuwa Mwenyekiti wa Yanga lakini jamaa hajalalamika kwa kuwa anajua hicho ni chombo binafsi kina haki ya kuchagua nyimbo na wasanii wapi wawapigie Promo bila ya kufanya Jinai, Jide kafika Omega

Songoro mbona umeongea kwa lugha kali sana? Hivi kumbe Jide ni Shugamami? Nilikuwa sijawahi kusikia
 
Last edited by a moderator:
Jide Songa mbele wala usiogope hao kupe wa clouds walionenepeana kwa jasho la wasanii. Watanzania wanakuelewa vizuri sana na wanakuunga mkono.

Mr. Two Sugu alishaliona hilo siku nyingi lakini kuna baadhi ya watu hawakumuelewa lakini sasa wamemuelewa.
 
Jide anauza utumbo halafu hataki kunuka m@vi


gemu lote la wasanii wa bongo liko hivyo, sema tu sasa yupo kwenye receiving end

alipokua anwabana wasanii wake bila kulipa alitegemea nini?? tena kibaya zaidi wakati akibana mishahara, alikua busy kupost picha za nyumba yake kali nk

paka kala mbwa sasa
 
Jide Songa mbele wala usiogope hao kupe wa clouds walionenepeana kwa jasho la wasanii. Watanzania wanakuelewa vizuri sana na wanakuunga mkono.

Mr. Two Sugu alishaliona hilo siku nyingi lakini kuna baadhi ya watu hawakumuelewa lakini sasa wamemuelewa.

Mwita Maranya hamna dhambi mbaya kama uoga.
Jide ameinuka, haogopi vita wala mapambano.
Kweli Jide ni Komando.
Nawapa pole sana kina mwasiti
 
Last edited by a moderator:
Ruge na Kusaga mna nini nyie? au ni masharti mnayopewa na waganga kugombana na watu mbalimbali akiwemo Sugu, angalieni nyie ni kioo cha jamii pia.
 
Lazima ili swala tuliangalie kwa makini na sikutuma post pasipo kufikiria hili swala la jaydee alijaanzia kwake kulalamika wamepita wasanii wengi wamelalamika bila kusahau ant-virus project iliyoanzishwa na Sugu kwamba ilikuwa nalengo gani haya makundi mangapi yamekufa na wasanii wangapi wamedhulumiwa na clouds iweje leo eti tunamshangaa komando jaydee nimefurahishwa xana na hilo.
 
Kwa vile sijui undani wa huu ugomvi wa hawa jamaa na pia siwafahamu wao binafsi kwa undani acha waendelee na bifu zao za maneno na wengine tutajua undani wa ugomvi wao huo.

Yangu macho, ila tu wasitoane kucha na meno kwa koleo.
 
Komandoo lady jay dee! songa mbele dada! Redio ya wafu ni kupe! ungana na sugu mtoe anti-virus volume 3.
 
Hatimae kambi ya vinega inaongezeka kwa makundi atahonga mpaka lini?
 
Lady JD ni mwanamke mjasiria mali na ametoka mbali na bado anasonga mbele ... jitihada zake zinaonekana.....naamini kwamba akiwa muwazi kwa jambo alilotendewa na hao jamaa... jamii itasimama upande wake...
 
Nasikia Jaydee ni Mtoto wa Wassira.
 
Nakumbuka wakati fulani Afande Selle nae aliingi kwenye mgogoro na Ruge kwa maana ya Clouds baada ya Ruge uuidaaka juu juu deal ya Malaria. Idea ilikuwa ya Afande lkn hakuana amei-secure Cosota wala sehemu nyingine kwa maana ya ht miliki.

Afande amekwenda kuongea na Clouds kama watu ambao aangefanya nao kazi ili kufanya kampeni ya kuhmiiza watanzania juu ya mapambano dhidi ya Malaria, walichofanya ni kumpa date arudi wajadili vema, siku chache jama wakawa wamemaliza kuandaa matamasha na sponsors wakawa wamepata.

Huo ndio ukawa mwanzo wa umasikini endelevu wa Msanii Afande Selle!

Ruge mjanja mjanja amejiingiiza hadi ikulu na hivyo ni ngumu wasanii kusikika kilio chao, Nakumbuka wakati fulanii Raisi alitaka ukutana na wasanii, Ruge ndo alipewa hiyo kazi ya ku-coordinate hiyo ziara ya wasanii Ikulu!

Ruge huyo ndiye ana anayesaidia ku-burn CD za wasanii wa bongo flava ili kumpelekea mkulu pale magogoni ili ajiliwaze inapobidi!

Na hivyo prezda wetu anapenda haya mambo ndo hataree!
nkumbuka aliwahi kusema anasikiliza na anazipenda sana Bongo flava!

Kw kifupi kuna ukombozi unatkiwa kwa ajili ya uweka sawa haya mambo yoooteeeee kwa sbb Tz hakuna sekta iliyo saafi kwa hta asilimia 40% zote zimejaa vurugu tupu!
 
Lazima ili swala tuliangalie kwa makini na sikutuma post pasipo kufikiria hili swala la jaydee alijaanzia kwake kulalamika wamepita wasanii wengi wamelalamika bila kusahau ant-virus project iliyoanzishwa na Sugu kwamba ilikuwa nalengo gani haya makundi mangapi yamekufa na wasanii wangapi wamedhulumiwa na clouds iweje leo eti tunamshangaa komando jaydee nimefurahishwa xana na hilo.

Safii kakaa kwasababu watu wanaongea NonSense kwasababu hawajui kilichopo Nyuma ya Paziaaaaa@Team Anaconda
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom