chuki
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 2,715
- 534
Ni babake mdogo, ambaye ni baba mmoja na baba Jide.
Ahsante kwa ufafanuzi mkuu!
Ni babake mdogo, ambaye ni baba mmoja na baba Jide.
Nasikia Jaydee ni Mtoto wa Wassira.
Wasira na Pinda nao si ni watoto wa hayati Bi. Kidude
Mkuu inaelekea uwezo wako wa kupambanua mambo ni mdogo sana, Shugamami??Even if sio sababu ya kumnyima Ridhiki yake.Ruge asipoteze muda kujibizana na huyo shugamami, Clouds ni Radio binafsi kama hawajapiga nyimbo zake tatizo nini, Hata basha wake Gadner alipokuwa pale kuna nyimbo nyingi za watu alikuwa hapigi, Hata Radio One huwa hawamtangazi Yusuph Manji pamoja na kuwa Mwenyekiti wa Yanga lakini jamaa hajalalamika kwa kuwa anajua hicho ni chombo binafsi kina haki ya kuchagua nyimbo na wasanii wapi wawapigie Promo bila ya kufanya Jinai, Jide kafika Omega
Me love jide
ruge asipoteze muda kujibizana na huyo shugamami, clouds ni radio binafsi kama hawajapiga nyimbo zake tatizo nini, hata basha wake gadner alipokuwa pale kuna nyimbo nyingi za watu alikuwa hapigi, hata radio one huwa hawamtangazi yusuph manji pamoja na kuwa mwenyekiti wa yanga lakini jamaa hajalalamika kwa kuwa anajua hicho ni chombo binafsi kina haki ya kuchagua nyimbo na wasanii wapi wawapigie promo bila ya kufanya jinai, jide kafika omega
Ni Sugu sio Afande SeleNakumbuka wakati fulani Afande Selle nae aliingi kwenye mgogoro na Ruge kwa maana ya Clouds baada ya Ruge uuidaaka juu juu deal ya Malaria. Idea ilikuwa ya Afande lkn hakuana amei-secure Cosota wala sehemu nyingine kwa maana ya ht miliki.
Afande amekwenda kuongea na Clouds kama watu ambao aangefanya nao kazi ili kufanya kampeni ya kuhmiiza watanzania juu ya mapambano dhidi ya Malaria, walichofanya ni kumpa date arudi wajadili vema, siku chache jama wakawa wamemaliza kuandaa matamasha na sponsors wakawa wamepata.
Huo ndio ukawa mwanzo wa umasikini endelevu wa Msanii Afande Selle!
Ruge mjanja mjanja amejiingiiza hadi ikulu na hivyo ni ngumu wasanii kusikika kilio chao, Nakumbuka wakati fulanii Raisi alitaka ukutana na wasanii, Ruge ndo alipewa hiyo kazi ya ku-coordinate hiyo ziara ya wasanii Ikulu!
Ruge huyo ndiye ana anayesaidia ku-burn CD za wasanii wa bongo flava ili kumpelekea mkulu pale magogoni ili ajiliwaze inapobidi!
Na hivyo prezda wetu anapenda haya mambo ndo hataree!
nkumbuka aliwahi kusema anasikiliza na anazipenda sana Bongo flava!
Kw kifupi kuna ukombozi unatkiwa kwa ajili ya uweka sawa haya mambo yoooteeeee kwa sbb Tz hakuna sekta iliyo saafi kwa hta asilimia 40% zote zimejaa vurugu tupu!
me love ruge