TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

Huko ni kujipa sympathy tuu...

Ni heshima kwa familia aliyoicha na kama kusema ni heshima kwake kwa aliyoyaacha hapa duniani kama angezikwa na Kanisa....


Wakristo Wakatoliki Jumuiya ndogo ndogo ni muhimu sana
Unazungumzia ni heshima kwa Ruge au kwa waliobaki?

Kama ni heshima kwa marehemu Ruge mbona sasa hatoweza kujua kazikwa na nani hivyo hata haisaidii kwake.

Kama ni heshimu kwa waliobaki mbona haina maana yoyote kwao
 
Msianze...
Kinachomuingiza binaadamu mbinguni au motoni, sio misa yako ya wafu imeendeshwa na nani, au watu wamekulilia vipi, bali tunaokolewa kwa neema na sio kwa matendo.

Kwa mujibu wa the law of the karma, Ruge as of now, ameingia peponi straight kwa mengi mengi aliowatendea watu hapa duniani.

Siku ukifika mbinguni, unaweza kushangaa kuwaona hao maaskofu motoni, halafu yule Katekista ndio ukamkuta peponi.

Hata kimataifa, unaweza kumkuta Bush, Blair na Obama, upande wa chini wakiogelea kwenye lile ziwa la jehanum ya moto was milele, halafu ukashangaa kuwakuta Osama, Saadam na Ghadafi wakiwa peponi wakienjoy.
P
Umeeleweka vizuri mkuu,niongezee kitu kidogo,Pia Ruge kwa kuumwa muda mrefu nadhani alipata fursa na wasaa wakutubu nakujirudi kwa Mungu wake,kwahiyo possible jamaa anaweza tunaweza mkuta ktk pepo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ruge na Kingunge wote sawa. Hawakulijua kanisa wala kuishi imani yao. Maziko waliyoyapata ndiyo heshima waliyostahili. Hakuna Misa Takatifu ya mazishi. Ni Sala tu ya kuongozwa na Katekista. Ndilo Kanisa Takatifu, Katoliki la Mitume. Halibagui wala kupepesa macho. Safi sana. Fanya fiesta lakini kumbuka kusali na kuhudhuria Misa Takatifu.
 
Msianze...
Kinachomuingiza binaadamu mbinguni au motoni, sio misa yako ya wafu imeendeshwa na nani, au watu wamekulilia vipi, bali tunaokolewa kwa neema na sio kwa matendo.

Kwa mujibu wa the law of the karma, Ruge as of now, ameingia peponi straight kwa mengi mengi aliowatendea watu hapa duniani.

Siku ukifika mbinguni, unaweza kushangaa kuwaona hao maaskofu motoni, halafu yule Katekista ndio ukamkuta peponi.

Hata kimataifa, unaweza kumkuta Bush, Blair na Obama, upande wa chini wakiogelea kwenye lile ziwa la jehanum ya moto was milele, halafu ukashangaa kuwakuta Osama, Saadam na Ghadafi wakiwa peponi wakienjoy.
P
Sasa kama ni hivo...then why ata uyo katekista alimuombea kama ni mazuri pekee ndo yatakayokupeleka peponi?
Why watu wanaombewa at all???

Ama ndo mnaendelea kumsafisha hata baada ya kanisa kumtenga?
 
Kwa heshima zote za kiserikali na kibinadamu na mapokezi aliyopata Marehemu Ruge, Je, alisitahili kuzikwa kwa ibada kuendeshwa na KATEKISTA?

Ukitilia maanani ukaribu wa familia ya marehemu na Askofu M. Kilaini

Ujirani uliopo kijijini kati ya Askofu na Prof. Mutahaba

Mazingira ya mwamko wa kidini ya RC uliopo hapo kijijini

Ujirani na Parokia yake ya Itahwa

Ushiriki wa viongozi hao wa dini katika kuaga mwili wa Marehemu hapo Bukoba Club/Gymkhana

Mwisho wa Mwisho ibada ya mazishi ikaishia kuendeshwa na KATEKISTA ikishuhudiwa viongozi hao wa kanisa kushindwa kushiriki ibada hiyo.

Kwanza Sio utamaduni wa eneo hilo kwa mtu kama wa aina ya Mutahaba.

Mwisho wa RUGE imekuwa simanzi kubwa kwani mbwembwe za mitaani zimezimwa na KANISA lake.

The very last RESPECT imeua yote.
 
kama alikuwa aendi kanisani wala kwenye jumuiya why azikwe kwa heshima ya kikatoliki??? ana watoto nje ya ndoa na pia pengine awajabatizwa why apewe asichostaili kama mkatoliki??
 
1. Anaeombewa na Padre au Askofu ndo anakwenda mbinguni?
2. Anaeombewa na Katekista ndo haendi mbinguni?
3. Unajuaje kama Marehemu alipata muda wa kuzungumza na Muumba wake na kutubu makosa yake kwa muda wote aliougua?
4. Hizo Kashfa ambazo Papa alikiri kufanywa na mapdre wa kanisa unasemaje?
5. Muache marehemu Apumzike kwa Amani.
6. Angalia maisha yako mtoto wa Kike.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom