skunk
Senior Member
- Aug 11, 2013
- 166
- 27
Habari wana jamvi la burudani kuna jambo bado silielewi maana kuna wasanii wengi wanaimba nyimbo nzuri lakini hazipigwi lakini kuna huyu jamaa nahisi hata mswaki hana kila siku mitusi tu but
anapewa airtime na promo sana hivi hii inakaaje pale cloudz au sababu ya.......
anapewa airtime na promo sana hivi hii inakaaje pale cloudz au sababu ya.......