Lavrov Sergey
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 400
- 230
Nenda wewe kawakamate uwapeleke mahakamani. Au kwa sabab watu waliouawa na hao wauaji sio ndg zako?Kwani hawawezi kuwakamata tuwajue..wende mahakamani waelezee shida yao? Kwani police walitumwa kuuwa? .
Kazi Yao nikuwakamata wawapeleke mahakamani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app