Tetesi: Rufaa ya Yanga kule CAS imechanwachanwa

Tetesi: Rufaa ya Yanga kule CAS imechanwachanwa

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
22,312
Reaction score
55,973
Application fee ya dola kadhaa imeenda

Na rufaa imechanwachanwa.

CAS wanadai Bodi ya ligi ndio chombo cha juu cha kutoa maanuzi na ratiba juu ya mechi yoyote na hakipaswi kuingililiwa na chombo chochote

Je hii ni halali
🚨| COURT OF ARBITRATION FOR SPORT (CAS) UPDATES

- Klabu ya Yanga SC imeshindwa kesi katika Mahakama ya Usuluhishi ya Michezo (CAS) iliyofunguliwa dhidi ya TFF, Bodi ya Ligi Kuu na Simba SC kuhusu kudai pointi 3 na mabao 3 kwakuwa Simba SC iligomea mchezo wa Derby tarehe 08 mwezi March 2025

- CAS imesema haina mamlaka ya kuzuia tarehe mpya ya Derby na TFF, Bodi ya Ligi Kuu katika utetezi wao waliipinga Yanga SC kuzivuka mamlaka za kisheria na kwenda CAS na kwa mujibu sahihi wa Mahakama ya Usuluhishi imepiga chini shauri ya Yanga SC na mpaka sasa Mamlaka za TFF na Bodi ya Ligi Kuu zipo huru kupanga tarehe mpya ya Derby

- Kwa mujibu wa CAS ni kuwa Yanga SC waligomea kucheza Derby ambayo itapangwa tarehe nyingine watapokonywa pointi 15 katika Ligi Kuu ya NBC.
 
Application fee ya dola kadhaa imeenda

Na rufaa imechanwachanwa.

Je hii ni halali
Je hii ndo tafsiri ya ulichokiandika wewe?! Ngoja waje wajuvi wa mambo watufafanulie sie gumbaru
 

Attachments

  • Screenshot_20250423-195603.png
    Screenshot_20250423-195603.png
    1.1 MB · Views: 20
Application fee ya dola kadhaa imeenda

Na rufaa imechanwachanwa.

CAS wanadai Bodi ya ligi ndio chombo cha juu cha kutoa maanuzi na ratiba juu ya mechi yoyote na hakipaswi kuingililiwa na chombo chochote

Je hii ni halali
Hata hujui Yanga wanacholalamikia umekuja mbio tu. Kwa hiyo kama hiyo bodi ina maamuzi ya kubadili kila mechi, kanuni ziliwekwa za kazi gani?
 
Application fee ya dola kadhaa imeenda

Na rufaa imechanwachanwa.

CAS wanadai Bodi ya ligi ndio chombo cha juu cha kutoa maanuzi na ratiba juu ya mechi yoyote na hakipaswi kuingililiwa na chombo chochote

Je hii ni halali
Bado ujachanganyikiwa sana, ukiwahi tiba utapona!
 
Back
Top Bottom