Dah si mlikuwa mnasema hamcheziHivi hata ikitokea huo mchezo ukarudiwa! Mna uwezo wa kuifunga hii Yanga ya moto?
Ingekua ya moto ingekuwa nusu fainali cafcl mda huu.Hivi hata ikitokea huo mchezo ukarudiwa! Mna uwezo wa kuifunga hii Yanga ya moto?
Nadhani unamjua...mafanikio yenu ni yapi kwani...Baada ya hapo nani akawa na mafanikio kuliko mwingine?
Mkifungwa kwa mara nyingine tena hatutaki lawama.Ingekua ya moto ingekuwa nusu fainali cafcl mda huu.
Eti yanga ya moto, moto upi?
Au kwa magoli ya kupeana na GSM family
Kwani kati yenu na sisi, nani alimkimbia mwenzake mpaka tuogope kucheza na nyinyi?Dah si mlikuwa mnasema hamchezi
Game ingepigwa ile siku. Simba walau angejitafuta ila kwa sasa Yanga imekuwa moto zaidi. Sioni namna Simba anaweza akapona dhidi ya Yanga.Hivi hata ikitokea huo mchezo ukarudiwa! Mna uwezo wa kuifunga hii Yanga ya moto?
Wakifungwa mtakwea nafasi ya 5 pale afirika?Mkifungwa kwa mara nyingine tena hatutaki lawama.
Hivi waliamuaje??? Wanaume Tungeshajipigia zamaniiiii 💚💚💛💛🖤💪💪
Utopolo hawawezi kulijua hilo. Hadi mwanasheria wao wanaemtegemea niApplication fee ya dola kadhaa imeenda
Na rufaa imechanwachanwa.
CAS wanadai Bodi ya ligi ndio chombo cha juu cha kutoa maanuzi na ratiba juu ya mechi yoyote na hakipaswi kuingililiwa na chombo chochote
Je hii ni halali
🤣🤣🤣😆hatuchezi hatuchezi walisika wala mihogo kwa hisan ya Eng.Haris
Stay of Excution or temporary injuction/interm order pending determination of their appeal???Yanga has filled aSTAY OF EXCUTION at CAS that TPLB,TFF and simba sc shall not schedule any new dates for derby untill their appeal case is closed