MwananchiOG
JF-Expert Member
- Apr 4, 2023
- 2,507
- 4,935
EPUKA MATAPELI
Maamuzi ya CAS bado hayajatoka
Maamuzi ya CAS bado hayajatoka
Ashinde wapi huyo! Hata yule wamwitaye Engineer kumbe ni Fundi Mchundo?Kwani hivi mwanasheria wa yanga ashawahi kushinda kesi!
hata kuandika hujui,cas utaijulia wapi?Application fee ya dola kadhaa imeenda
Na rufaa imechanwachanwa.
CAS wanadai Bodi ya ligi ndio chombo cha juu cha kutoa maanuzi na ratiba juu ya mechi yoyote na hakipaswi kuingililiwa na chombo chochote
Je hii ni halali
SPEEDKwahiyo wataelekea wapi sasa watu wa mungu??
Nendeni mkashitaki kwa Trump kabisa. Lkn derby iko pale pale.Sisi Yanga tutaandamana ikulu kwa Mama kuwashitaki CAS, Simba, TFF na Bodi ya Ligi...
Thubutu, labda kesi za kugombea mipaka ya viwanja kwenye ofisi za Mwenyekiti serikali ya mtaa.Kwani hivi mwanasheria wa yanga ashawahi kushinda kesi!
Hatari kiongozi..Ashinde wapi huyo! Hata yule wamwitaye Engineer kumbe ni Fundi Mchundo?
Hawa jamaa ni shida sana!
Baada ya hapo nani akawa na mafanikio kuliko mwingine?Kuna clip imenifurahisha ya Bwigane akiziongelea Uto na Simba yani katembea mule muleee...yani ni ukweli mtupuu kaitafuteni...
Simba ilianzishwa na matajiri na wenye elimu...
Uto ilianzishwa na maskini wasio na elimu
Sasa yanga wana mafanikio gani makubwa kuwazidi simba kijanaBaada ya hapo nani akawa na mafanikio kuliko mwingine?
Kuna mmoja kamzidi mwenzie ubunifu. Walibuni mwiko halafu mwaka jana wakabuni vitenge kisha wanakutana kunywa supu. Sasa ni Kikoba imara chenye mwiko, sare na mikutano.Baada ya hapo nani akawa na mafanikio kuliko mwingine?
Hivi hata ikitokea huo mchezo ukarudiwa! Mna uwezo wa kuifunga hii Yanga ya moto?Application fee ya dola kadhaa imeenda
Na rufaa imechanwachanwa.
CAS wanadai Bodi ya ligi ndio chombo cha juu cha kutoa maanuzi na ratiba juu ya mechi yoyote na hakipaswi kuingililiwa na chombo chochote
Je hii ni halali