Tuendelee kutii sheria, tusiwasikilize wenye uraia wa Nchi mbili
Hatuna Tume nchi hii!
llishatoka na ni kwamba Mbunge ashateuliwa kama ana hoja asubiri baada ya uchaguzi aende mahakamani kupinga.Huyu Mama amefuatilia sana rufaa yake kule NEC. Je rufaa yake tayari imetolewa uamuzi na Tume ya Taifa ya Uchaguzi?.
Na una amini kuwa angetulia jina lake lisingekatwa? Angalau kwa kupiga kelele kila mmoja mwenye kutaka kusikia ameona jinsi ambavyo amedhulumiwa.Ishatoka hiyo, kilichobaki washabini tuendelee kulialia humu jf.
Watu wanapenda sana kuwajaza wengine upepo, huyu mama watu walisema hatutakubali akatwe tutakiwasha na kelele nyingi.
Ye mwenyewe kishajikatia tamaa, yupo zake dar tu
Ana uhskika wa viti MaalumIshatoka hiyo, kilichobaki washabini tuendelee kulialia humu jf.
Watu wanapenda sana kuwajaza wengine upepo, huyu mama watu walisema hatutakubali akatwe tutakiwasha na kelele nyingi.
Ye mwenyewe kishajikatia tamaa, yupo zake dar tu
Washamfuta mazima. Nashauri maandamano yafanyike kushinikiza tumeHuyu Mama amefuatilia sana rufaa yake kule NEC. Je rufaa yake tayari imetolewa uamuzi na Tume ya Taifa ya Uchaguzi?.
NEC wanafanya upuuzi utakaowagharimu sana viongozi wake baada ya October.Huyu Mama amefuatilia sana rufaa yake kule NEC. Je rufaa yake tayari imetolewa uamuzi na Tume ya Taifa ya Uchaguzi?.
Wewe na wazazi wako muwe mbeleWashamfuta mazima. Nashauri maandamano yafanyike kushinikiza tume
Mbeleko ndio maigizo ya kiwango Cha juu zaidi kwa chama mbogamboga.Upinzani ulishakufa tangu 2015, kilicho baki ni futuhi.
Huyu Mama amefuatilia sana rufaa yake kule NEC. Je rufaa yake tayari imetolewa uamuzi na Tume ya Taifa ya Uchaguzi?.
Lakini hakuna neno kuna room ya kwenda mahakamani kuwapinga wabunge wote waliopita bila kupingwa isivyo halali na ikishindikana ....basi wananchi hawatawapa ushirikiano .......
Ana uhskika wa viti Maalum