Rufaa ya Godbless Lema

Rufaa ya Godbless Lema

Lunch muda wake huu kwani hiyo kamilisha taarifa yake ili mlo ushuke kwa utaratibu.La sivyo tutakuombea mwongozo.
 
Si vyema kuanza hivyo. Wewe kama wewe uliyeanza ingependeza kama ungetafuta uhakika wa hizo taarifa ndiyo uje hewani kwa wadau. Fuatilia kwa vyanzo vyako Up date taarifa yako.
 
Unaanzisha thread halafu sisi tukupatie taarifa!
Kama umefunga huna maana ni bora ukaendelea kula mchele shekhe wangu
 
Sidhani KAMA TAARIFA hizi ni za kweli!
Nikiwa kunako ofisi yangu muda wa saa 3.00 asubuhi nimekutana na Lema, Ole Milya, na Mawazo wakielekea Airport ambako wanatumia helikopta ya Ndesapesa tayari kwa kwenda Simanjiro, raia wa huko wamewaita wanataka kuhamia Airtel, sorry, CDM!
And so by default value Lema asingeacha rufaa yake inasomwa akaondoka kwenda kupiga M4C!
 
Taarifa nilizonazo ni kwamba rufaa ya Lema imekubaliwa kusikilizwa, sasa ndiyo itapangiwa majaji na tarehe ya kusikiliza.
*Habari ya kushinda kesi ni imagination Sheikh Ubwabwa.

stand to be corrected!*
 
Sidhani KAMA TAARIFA hizi ni za kweli!
Nikiwa kunako ofisi yangu muda wa saa 3.00 asubuhi nimekutana na Lema, Ole Milya, na Mawazo wakielekea Airport ambako wanatumia helikopta ya Ndesapesa tayari kwa kwenda Simanjiro, raia wa huko wamewaita wanataka kuhamia Airtel, sorry, CDM!
And so by default value Lema asingeacha rufaa yake inasomwa akaondoka kwenda kupiga M4C!

Asante PJ kwa hii taarifa tuondokane na uzushi.
 
jf kijiwe inapendeza sana kwa swaga za uongo!!
 
Sidhani KAMA TAARIFA hizi ni za kweli!
Nikiwa kunako ofisi yangu muda wa saa 3.00 asubuhi nimekutana na Lema, Ole Milya, na Mawazo wakielekea Airport ambako wanatumia helikopta ya Ndesapesa tayari kwa kwenda Simanjiro, raia wa huko wamewaita wanataka kuhamia Airtel, sorry, CDM!
And so by default value Lema asingeacha rufaa yake inasomwa akaondoka kwenda kupiga M4C!


Hii ndiyo updates!
 
Ili SIRIKALI ipooze harakati za Lema za Elimisha jamii ni kuisurutisha mahakama imrudishie ubunge wake Lema ili akose mda wa kuzunguka nchini kuelimisha Raia
 
Ni jambo jema kama kashinda rufaa yake hongera sana Kamanda Lema...jipange kurudi bungeni.
 
Ni jambo jema kama kashinda rufaa yake hongera sana Kamanda Lema...jipange kurudi bungeni.

Hajashinda,,mcheki Mungi hapo 11 naona kaandika kitu kidogo kina mashiko na kinaelekea na ukweli
 
Back
Top Bottom