Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,580
Kuna mtu amenipigia simu kuwa amesikia kuwa Godbless Lema ameshinda rufaa.
*wadau wa jukwaa hili nanyaro Ephata, Ndallo, Ngongo, Mungi, Ritz, Tume ya Katiba, Mzee wa Rula, and the likes tupeni taarifa za uhakika tuanze kujiandaa pa kuzificha sura zetu.
*wadau wa jukwaa hili nanyaro Ephata, Ndallo, Ngongo, Mungi, Ritz, Tume ya Katiba, Mzee wa Rula, and the likes tupeni taarifa za uhakika tuanze kujiandaa pa kuzificha sura zetu.
Last edited by a moderator: