Lussadam
JF-Expert Member
- Oct 13, 2007
- 1,295
- 835
Listi hiyoWizara ya utumishi imetoa maelekezo kwaa maafisa utumishi kuhakikisha waatumishi wote ambao wamekutwa hawana hatia baada ya kukata rufaa kufuatia kadhia ya vyeti vyenye utata na vyeti feki wanarudishwa kwenye payroll ya mwezi wa saba haraka kabla haijafungwa.Nimejaribu kutafuta hayo majina bila mafanikio.
Naomba mwenye List ya hao wahanga atusaidie tafadhali