Rufaa Igunga: Kafumu atofautiana na CCM

Rufaa Igunga: Kafumu atofautiana na CCM

Tu'assume CCM ikishinda rufaa, kafumu atakataa kuwa Mbunge?

Hawakosi la kuzungumza hao, atakuja na lugha ya wazee wameniomba niendelee maana wame-fight mpaka chama kikashinda ila kiukweli nilikuwa sitaki kabisa kuendelea (alafu anamalizia kuwaponda CDM kiaina katika hali ya kuzuga tu)
 
ameona alivyo tumia nguvu nyingi hadi kushinda so anaona bora atulie na wanae. Nguvu zimepungua sana. mia
 
Huyu mchambaji aendelee kumbwelambwela tu kwa wenzake wakati siku zake zinahesibika,akumbuke kamati kuu imeazimia kupeleka nguvu zaidi kwa huyu mropokaji.
 
Huyu Mwigulu Nchemba Shule haijamsaidia lolote, hata angeishia darasa la nne wala asingekuwa na tofauti na akili aliyonayo sasa.
 
Kwanini CCM hawakumlazimisha Mh.Magufuli afike mahakamani wakati alipohitajika? Pia walimuharibia sana kwa kugawa mahindi ya njaa, kuwatishia wananchi kwa bastola, kuwababmbikizia wananchi kuchoma kibanda cha kuku na karatasi kusalimika, kuahidi uongo daraja la Mbutu, ......................
CHADEMA wangekazana daraja la Mbutu lisijengwe maana ni zao la rushwa au sivyo?
 
Wakati aliyekuwa mbunge wa Igunga Bw Dalaly Peter Kafumu amesema hata kata rufaa kupinga hukumu iliyotengua "ushindi" wake wa ubunge, chama chake kupitia kwa Mwigulu Nchema kimesema kitakata rufaa hiyo. Mwigulu amesema hivyo kwenye mikutano ya chama hicho inayoendelea jimboni Igunga wakati Kafumu ametoa tamko hilo alipohojiwa na Star Tv.

Source: Star Tv Habari.

My take: Mambo si shwari ndani ya ccm maana tangu Mwigulu aanze mikutano yake Igunga, Kafumu hajawahi kuonekana.

Kafumu anaelewa Nchemba ndo alikuwa nuksi kwa ubunge wake!
 
Jamani CCM hawataki kusikia by elections sasa hivi. Imagine watampeleka nani kwenye kampeni? Labda JK mwenyewe aende lakini chama hakiuziki, hakina mvuto, matatizo kwa wananchi yanaongezeka kila siku. Umpeleke nani na akaseme nini?
 
Nilishasema mwanzo, na sisiti kurudia. Dr Kafumu ni mtu msafi.

Yeye ni mhanga tu wa Siasa za majitaka. Kama mtu binafsi, yeye ni bora kuliko magamba au magwanda wengi tu ninaowajua.
 
Meneja kampeni anajifeel gulity.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Meneja kampeni wa ccm anaji-feel guilty.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Rufaa ya chama haitokelewa labda mwingulu anajua zaidi pesa kuliko sheria.
 
Meneja kampeni wa ccm anaji-feel guilty.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Ni kweli mkuu, huyu chemba anajihisi GUILTY! pia anaonekana kama nuksi katika chama chao, maana :-
1:chaguzi zote anazokuwa yeye ndio mratibu wa kampeni i.e Arumeru east+ igunga
“work done= cosine of 90 (zero)”
2:kuna habari kuwa mh kafumu baada ya kushinda ubunge alimpa' Chemba' zawadi kubwa sana ya binafsi kama asante kwa kuwa kampeni manager wake, sasa baada ya kutenguliwa ubunge mwigulu anaona guilty kuendelea kutumia zawadi aliyopewa kwa kitu ambacho sasa hakipo( ubunge).
ndio maana anamshinikiza jamaa akate rufaa tena.
 

nadhani wanafanya delaying tactic ukizingatia kuwa huenda sumbawanga uchaguzi ukafanyika soon, wasijikute wamepoteza majimbo mawili kwa mpigo bora wadondoshe moja baada ya jingine kwa kujipa muda
[/QUOTE
Uchaguzi ukifanyika moja baada ya jingine ndo itakuwa hatari kabisa kwao maana timu ya cdm haitaacha jiwe juu ya jiwe lingine! Kimsingi hawana ubavu wa kuyarejesha hayo majimbo tena! Inawauma sana maana yalikuwa ni yao halafu wayakose yote wananchi hawatawaelewa! Ila nadhani ndo mwisho wao umefika hata kama hawataki watataka tu! Mungu akiwa upande wetu ni nani aliye juu yetu?
 
CHemba inapiga kampeni, lakini polisi wanaona sawa.............. utahsngaa cdm wakienda igunga wanapigwa stop

dawa ni kuvuruga mikutano yao tu
 
Back
Top Bottom