Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,880
- 2,761
Aliyekuwa Mbunge wa Igunga,Dr. Dalali Kafumu-CCM amekaririwa akisema kuwa tayari ameshafanya maamuzi. Taarifa nilizonazo toka chanzo kilicho karibu na Dr. Kafumu zinasema kuwa uamuzi wenyewe ni wa kutokata Rufaa dhidi ya Hukumu ya Mahakama Kuu- Tabora iliyomvua Ubunge. 'Sina nia ya kukata rufaa na wala sitajihusisha kwa namna yoyote ile na rufaa itakayokatwa na yeyote' alisema Kafumu. ' Kuna watu wa ajabu sana...kwanini wanilazimishhe jambo nisilotaka?' alifoka Dr. Kafumu. Picha inaendelea...
ndugu yangu naamini katika mengi ya mabandiko yako. Na hili ningependa kuliamini pia