Ruaha: Mwenyekiti wa kijiji atangaziwa polisi

UPDATES=======
Aliyetarajiwa kukabidhiwa uwenyekiti wa kijiji cha Ruaha Ndugu Kisaluni amekimbia mji muda mfupi kabla ya kukabidhiwa ofisi. Duru zinasema ndugu huyo ametahadharishwa na watu wake wa karibu kwamba huenda akachukiwa na kijiji kizima kama atakubali kuongoza kijiji hicho kimabavu, pia ameacha siasa za CCM kabisa. Mkuu wa wilaya ya Kilosa Elias Tarimo na Mkurugenzi wake wameaibika.

Siyo kwamba amekimbilia mjini ili aongoze kijiji kwa king'amuzi?
 
Kwa upuuzi huu, magaidi watatupiga mabomu hadi "Kunduzz"!!

Serikala bado haijifunzi....iko bize na mambo ya kijinga sana!
 
UPDATES=======
Aliyetarajiwa kukabidhiwa uwenyekiti wa kijiji cha Ruaha Ndugu Kisaluni amekimbia mji muda mfupi kabla ya kukabidhiwa ofisi. Duru zinasema ndugu huyo ametahadharishwa na watu wake wa karibu kwamba huenda akachukiwa na kijiji kizima kama atakubali kuongoza kijiji hicho kimabavu, pia ameacha siasa za CCM kabisa. Mkuu wa wilaya ya Kilosa Elias Tarimo na Mkurugenzi wake wameaibika.
Hata ningekuwa mimi ningekimbia, Siwezi kukubali kusimikwa na polisi.
 
Wanaharakati na wanasheria,vyama vya upinzani na hasa Chadema,fungueni kesi mahakamani kutetea wananchi wa Ruaha jamani,mkiliacha hili lipite tu hivi hivi tutawashangaa.mkikaa kimya watazoea hawa.
 
[kilicho baki kwao nikutumia police kama silaha pekee sasa wasubiri 2015 police takwimu ziznonyesha ni 35,000 wakati population density ya sasa ni 48milion.Nidhahiri nguvu ya uma itakuwa kubwa tu kwa police wana ccm.QUOTE=tunduruboy;6353813]CCM na polisi awana akili, Is Tanzania a police state[/QUOTE]
 
Nilisha andika hapa jf, na ninaandika tena ccm wanacho fanya ni ' liwalo na liwe'. Pia haiko tayari 'kukabidhi dola' kwa wapinzani. Wako tayari kutumia polisi kwa njia yoyote iliwabakie madarakani. Sioni, kwa matamko ya kibabe bungeni na serkalini, amani ikidumu tzn, hasa watzn wakienda kinyume na kutotii wanachotaka mafisadi hawa.

Ni bahati mbaya tu kuwa sikio la kufa halisikii dawa.

you can't fight nature.you have to live with it!haki ni asili ya binadamu,huwezi kuifuta milele,iko siku tu itasimama.naisubiri siku wananchi hawa wanaovaa uniform(askari)watakapochoka na kuungana na walalahoi wenzao!that day is coming!
 
Niishara ya dola inayo anguka.Angalia wanatenga budget kubwa ya kupapambana na cdm kila kukicha ni vikao kuhusu cdm.yaani cdm imewashika pabaya hakuna mfano.
 
updates=======
aliyetarajiwa kukabidhiwa uwenyekiti wa kijiji cha ruaha ndugu kisaluni amekimbia mji muda mfupi kabla ya kukabidhiwa ofisi. Duru zinasema ndugu huyo ametahadharishwa na watu wake wa karibu kwamba huenda akachukiwa na kijiji kizima kama atakubali kuongoza kijiji hicho kimabavu, pia ameacha siasa za ccm kabisa. Mkuu wa wilaya ya kilosa elias tarimo na mkurugenzi wake wameaibika.

....watu weweeeee, aibu yetu ? Aibu yao ? Wotee aibu yaooooooooo.....!!!!!
 
Mi nashauri awe mwryekiti wa polisi. wamanchi msikubali kabisa kuonewa kiasi hicho. Pambaneni mpaka mpate kionhozi mnayemtaka.
 
Je atakuwa Mwenyekiti wa CCM ama wa Wananchi? Na, je atafanya kazi na watu gani maana ashakataliwa!!! Tujifunze kukubaliana na demokrasia na tukubali kukataliwa pia.
 
Ni pale tu CHAMA CHA DEMOKRASIA kinakapochukua uongozi wa nchi hii.
CCM. Pressure inapanda, inapanda, inapanda, inapanda, inapanda, inapanda, inapanda, inapanda, inapanda, inapanda, inapanda, inapanda, inapanda
 
Back
Top Bottom