Samir7900000
Member
- Jul 26, 2016
- 52
- 26
Vyuo vingi vishapatiwa pesa zao, chuo chetu inasemekana pesa hata haijaja kwa Maelezo ya Loan officer, tunawasiwasi kaiweka fixed account.
Mwenye namba za Bodi ya Mkopo tunaomba tuweze kuwasiliana nao moja kwa moja, tupo likizo vyuo now closed waziri wetu naye ni mtu asiyekuwa upande wetu kwakuwa alishafanya field mwezi wa tatu.
Tunataka tuwasiliane nao direct tujue
Mwenye namba za Bodi ya Mkopo tunaomba tuweze kuwasiliana nao moja kwa moja, tupo likizo vyuo now closed waziri wetu naye ni mtu asiyekuwa upande wetu kwakuwa alishafanya field mwezi wa tatu.
Tunataka tuwasiliane nao direct tujue