Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,263
- 16,288
hivi ni ujambazi sa aliibiwa kitu gani na mbona dada alibakizwa?
Ingekuwa mzee wa porojo kanda maalum dar unogile.barlow hakuwa mnyama sana rip
Mkuu kilimasera niwakati wakuweka unafiki wetu mfukoni tuzitendee haki miyo zetu polisi wana uwa watanzania watuambia kauwawa na kitu kizito kinachoruka yaani kihuni huni tu mwisho wa siku wanapandishwa vyeo sasa leo kwao nao wasikilizie maumivu tunayoyapata tunapo fiwa na wapendwa wetu..
Ni tukio lililotokea majira ya saa saba usiku maeneo ya Kitangiri alipokuwa amempeleka dada yake nyumbani kwake baada ya kutoka kwenye kikao cha harusi
Source: ITV BREAKING NEWS
mpaka Yesu arudi au?
Mwanza vikao vya harusi hadi saa saba usiku. Isije akawa alikuwa anatembea na mke wa mtu! yetu masikio!
Ili suala liko chini ya DCI hakuna kudiscuss mtaharibu ushahidi na kuwakurupusha watuhumiwa
sipendi unafiki kabisa yesu yesu nini yeye alitaka kuwauwa wabunge wetu leo kauwawa una ita yesu yesu nini malipo ni hapa hapa duniani alaah! bado Andengenye, Shilogile na Kamhanda